Hahahaa hiyo ya kupaa wanatumia makamanda wa maimai DRCKule kwetu kigoma inaitwa Kidono na kuna nyingine inaitwa kinkati ni ya kuruka angani mshana jr
Naamini hujanielewa hata nukta... Compassion yangu kwenye uumbaji wa Mungu iko juu kiasi kwamba hata kula nyama huwa naona shidaUfundishwe kumfisha mtu asiyetaka kufa wakati hana maisha tena??
Si ndio kuua indirect huko??
Hana maisha kwa vipimo..au matakwa ya mfishaji??
Utayaingia pole pole...baadae mwenyewe utatafuta kilinge...na kwa hiyo kazi yako mbona utawafaa huko...
Mkuu mengine yaache...kama yalivyo...kama ingelitakiwa hivyo ..watu wote wangejua ... .... ... wengine ni mawakala au wanatafuta kariba flani humu!
Samahani lakini mkuu...una maamuzi pia!
Ongeza uelewa... .. elimu ni bahari...
Ushirikina michezoni... Ni dhana halisi ama ya kufikirika? Ukweli ni upi? - JamiiForumsMkuu Mshana Jr naomba upandishe ule uzi wako kuhusu ushirikina/uchawi kwenye soka (ninasikitika sikuusoma kwa kina uzi huo).Nataka nifanye reflection kwenye mechi ya jana.
Chukua panga lipake maji maji ya tembele mkate nalo aliechanjia muku kama halitapitaVipi Muku haichuji? yan hakuna advance yake kama unahitaji kumpindua mwenye chanjo za muku?
Yaan mnampiga mwizi then katikati ya kipigo anaomba maji nawe unamletea... HahahaIla kuna watu wana roho ngumu sana aisee. Nakumbuka nilisikia unaweza ukampiga mwizi mwenye muku akiomba maji mkimpa tu anakuwa na nguvu tena
Yaan mnampiga mwizi then katikati ya kipigo anaomba maji nawe unamletea... Hahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
