Hahaha hapo umeniacha, mkuu haya mambo unayajua umewahi kufa nini?!Kuugua hadi kufa ni jambo la kwanza lakini jambo la pili ni kile kitu kinaitwa HARI ZA KIFO... ndio namaanisha hapa
Hahaha hapo umeniacha, mkuu haya mambo unayajua umewahi kufa nini?!Kuugua hadi kufa ni jambo la kwanza lakini jambo la pili ni kile kitu kinaitwa HARI ZA KIFO... ndio namaanisha hapa
Duu umeuaMwaka 1991 pale Lushoto huku chuo cha mahakama by then chuo cha ccm kuna jamaa maarufu sana Muuza mitumba wa enzi hizo almaarufu kama Mahmoud...huyu jamaa alipigwa karibu na daraja moja usiku na kichwa chake kinapondwa na mawe
Wale wabaya wake wakidhani wamemaliza kazi jamaa aliokotwa alfajiri akiwa bado hai na kupelekwa hospital ya Lushoto, pale alikutwa na skull fracture 11, akawahishwa KCMC Moshi ambako alikaa miezi mitatu...kesi yake ni mojawapo ya maajabu kule Lushoto miaka ile....Mahmoud alikuwa kachanjiwa muku
Ukizaliwa Ocean road ukasoma Bunge sekondari Tambaza chuo kikuu UDSM kazini Ips haya mambo utaona ni story za kusadikika







Test nyingine za muku ni kukatwa na jambia bila kupata madhara makubwa, kupita kwenye moto mkali na kuangushwa kwenye gemo
Nimekuwa sehemu ya wafu kwa muda mrefu.. I mean wale ambao wanakaribia kufa... Na kwa sehemu baadhi yao nimewasaidia kufa... Lakini zaidi nimeshafanya death meditation karibia mara 3 katika maisha yanguHahaha hapo umeniacha, mkuu haya mambo unayajua umewahi kufa nini?!
Hongera mkuu, mi sayansi yakifo niliisoma chuo tu. zaidi ya kuona watu wakifa, huwa sifuatilii muda gani roho inatoka , sijui inapata shida gani, mi najua mtu kafa basi. labda kufanya resuscitation process tena nayo simple CPR basi. Baada ya hapo hiyo sayansi after death sijui mnajuaje yani.Nimekuwa sehemu ya wafu kwa muda mrefu.. I mean wale ambao wanakaribia kufa... Na kwa sehemu baadhi yao nimewasaidia kufa... Lakini zaidi nimeshafanya death meditation karibia mara 3 katika maisha yangu
Ukikubali nitakufundisha hata kumfisha asiyetaka kufa... Wakati hana maisha tena...!Hongera mkuu, mi sayansi yakifo niliisoma chuo tu. zaidi ya kuona watu wakifa, huwa sifuatilii muda gani roho inatoka , sijui inapata shida gani, mi najua mtu kafa basi. labda kufanya resuscitation process tena nayo simple CPR basi. Baada ya hapo hiyo sayansi after death sijui mnajuaje yani.
Mimi niko tayari kujifunza chochote humu duniani ilimradi kisinidhuru mimi au nisimdhuru mwingine. Elimu haina mwisho mkuu.Ukikubali nitakufundisha hata kumfisha asiyetaka kufa... Wakati hana maisha tena...!
Mimi niko tayari kujifunza chochote humu duniani ilimradi kisinidhuru mimi au nisimdhuru mwingine. Elimu haina mwisho mkuu.
Ila wewe huwa unasema ulikua Mortuary attendant(MA) mimi niko beyond huko. Naogopa usije nifunza uchawi tu. Kama sio uchawi basi twende kazini mkuu naweza saidia wengine pia.


hapana sifunzi uchawi... Najua uko njema sana nami nafaidika toka kwako lakini kuna ya ziada mengi kati yetu tunaweza kushirikishanaSawa mkuu toa somo mkuu unajua elimu haina mwisho mkuu.hapana sifunzi uchawi... Najua uko njema sana nami nafaidika toka kwako lakini kuna ya ziada mengi kati yetu tunaweza kushirikishana
Ufundishwe kumfisha mtu asiyetaka kufa wakati hana maisha tena??Mimi niko tayari kujifunza chochote humu duniani ilimradi kisinidhuru mimi au nisimdhuru mwingine. Elimu haina mwisho mkuu.
Ila wewe huwa unasema ulikua Mortuary attendant(MA) mimi niko beyond huko. Naogopa usije nifunza uchawi tu. Kama sio uchawi basi twende kazini mkuu naweza saidia wengine pia.
Hahaha usihofu siwezi kufanya ninalojua liko nje ya taaluma, na siwezi dhuru mtu au nafsi yotote kwa utashi wangu au wamtu yeyote.Ufundishwe kumfisha mtu asiyetaka kufa wakati hana maisha tena??
Si ndio kuua indirect huko??
Hana maisha kwa vipimo..au matakwa ya mfishaji??
Utayaingia pole pole...baadae mwenyewe utatafuta kilinge...na kwa hiyo kazi yako mbona utawafaa huko...
Mkuu mengine yaache...kama yalivyo...kama ingelitakiwa hivyo ..watu wote wangejua ... .... ... wengine ni mawakala au wanatafuta kariba flani humu!
Samahani lakini mkuu...una maamuzi pia!
Ongeza uelewa... .. elimu ni bahari...
Natoa tahadhari hata mie nimechanjiwa, na no mganga wa muku, karibuni wadugu
hiyo dawa unakunywa kila siku au mpaka uumwe?Mbali na kuchanjiwa kuna dawa yake ya kunywa kama unajisikia na homa.au mwili hauna nguvu ukipewa glas moja ukaimaliza aisee unakua na nguvu na unahisi zimeongezeka sana ila.madhara yake baadae upate na homa utajuta itakupeleka utaona kifo kipo mbele yake inatakiwa ukiinywa unywe hiyo kila mara ukiiacha kwa mda ukapata homa imekula kwako mi nilishawahi kua mnywaji wa hiyo niliposafir kwenda sehen ambayo haipatikan nilipatwa na homa sikuwah kupata toka nzaliwe niliporudi nkawahadisia jamaa wanaonipa ndo wakanambia hivyo bas tokea siku hiyo hadi leo sikuitumia tena