Yahusu kuchanjiwa muku

Yahusu kuchanjiwa muku

Duh, majaribio mengine si kutishana huko??
Ila nilishasikia, hata kule kigoma wakati wa uchaguzi kuna vijana huwa wanafanyiwa hiyo kitu.

Mkuu vipi kwa mfano bondia akichanjiwa hiyo muku, hawezi kuwa kama maiweza kweli??
Muku hauhitaji professionalism sana sana hatapigwa kwa TKO kwakuwa ule ni ugomvi wa kusukwa
 
Mbali na kuchanjiwa kuna dawa yake ya kunywa kama unajisikia na homa.au mwili hauna nguvu ukipewa glas moja ukaimaliza aisee unakua na nguvu na unahisi zimeongezeka sana ila.madhara yake baadae upate na homa utajuta itakupeleka utaona kifo kipo mbele yake inatakiwa ukiinywa unywe hiyo kila mara ukiiacha kwa mda ukapata homa imekula kwako mi nilishawahi kua mnywaji wa hiyo niliposafir kwenda sehen ambayo haipatikan nilipatwa na homa sikuwah kupata toka nzaliwe niliporudi nkawahadisia jamaa wanaonipa ndo wakanambia hivyo bas tokea siku hiyo hadi leo sikuitumia tena
 
Mbali na kuchanjiwa kuna dawa yake ya kunywa kama unajisikia na homa.au mwili hauna nguvu ukipewa glas moja ukaimaliza aisee unakua na nguvu na unahisi zimeongezeka sana ila.madhara yake baadae upate na homa utajuta itakupeleka utaona kifo kipo mbele yake inatakiwa ukiinywa unywe hiyo kila mara ukiiacha kwa mda ukapata homa imekula kwako mi nilishawahi kua mnywaji wa hiyo niliposafir kwenda sehen ambayo haipatikan nilipatwa na homa sikuwah kupata toka nzaliwe niliporudi nkawahadisia jamaa wanaonipa ndo wakanambia hivyo bas tokea siku hiyo hadi leo sikuitumia tena
Inaitwa mzughwa
 
Ni chungu sana hata uwe unaumwa nini ukiinywa hauchukui mda unajiona umepona lakin ndo hayo madhara
Inahitajika roho ngumu kuinywa ile dawa..ukimaliza kikombe lazima jasho likutoke hata kama kuna baridi
 
Unafia hapo hapo
Jirani yangu alikufa wakati akifanyiwa majaribio ya hiyo dawa...nadhani palikuwa na tatizo kwenye mchanganyo. Wakati anatestiwa aliambiwa azunguke nyuma ya nyumba ya mganga kumbe Kule nyuma ya nyumba ameandaliwa mtu maalum na panga lenye makali mithili ya wembe tayari Kwa majaribio...alipotandikwa panga LA kichwani lilizama kama vile unavopasua boga a.k.a pumpkin... Palepale msiba ukatangazwa....nakumbuka polisi walimkamata mganga lakini baada ya mwezi alirudi mtaani tukaendelea kunywa naye pombe maarufu kigoma iitwayo kayoga mtaani
 
Jirani yangu alikufa wakati akifanyiwa majaribio ya hiyo dawa...nadhani palikuwa na tatizo kwenye mchanganyo. Wakati anatestiwa aliambiwa azunguke nyuma ya nyumba ya mganga kumbe Kule nyuma ya nyumba ameandaliwa mtu maalum na panga lenye makali mithili ya wembe tayari Kwa majaribio...alipotandikwa panga LA kichwani lilizama kama vile unavopasua boga a.k.a pumpkin... Palepale msiba ukatangazwa....nakumbuka polisi walimkamata mganga lakini baada ya mwezi alirudi mtaani tukaendelea kunywa naye pombe maarufu kigoma iitwayo kayoga mtaani
Formula ilidunda
 
Kwa hiyo mtu akienda vitani akitumia muku hatakufa? Kama ni hivyo ingefaa wanajeshi wetu wakienda kulinda amani wachanjwe muku maana inasikitisha wanapokufa huko.
Muku si kwa ajili ya kwenda kutafuta au kuanzisha ugomvi utapigwa tuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom