Kisima
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 4,446
- 5,461
mshana jr test ya muku haiishii kwenye majambia tu,; ni visu, nyembe, sindano, misumari na risasi ya ukweli ukweli lazima idufue mwili wako tena inalengwa kifuani!
Hutakiwi kuwa muoga siku ya kuchanjwa na kwenye tukio la test vinginevyo ukitestiwa inaingia mazima na risasi itakuuwa!!
Huko kigoma hii kitu inaitwa "VIDONO"
Na wakaguru wanaipata kwa mtemi wao anaitwa "JENGA" inapatikana wilaya ya Gairo kijiji cha Idibo- hakatizi maasai hapo kijijini na ikitokea kakatiza huchinjwa kama kuku na jeshi kuu la "MWANO"
Kule kanda ya ziwa inaitwa "BHULABHUKA"
Ilishawahi kututesa hii kitu mwaka juzi bibi alipofikia kufa ktk umri wake wa miaka 100+ alitusubirisha mpaka wiki mbili hafi huku mwili ukiwa umeoza ila bado angali anapumua!!!
Mwishoni alikuja mdogo wake akaamuru tutoboe juu ya paa na mwiba wa nungunungu!!!
Dunia ina maajabu acha kabisa!!
Hutakiwi kuwa muoga siku ya kuchanjwa na kwenye tukio la test vinginevyo ukitestiwa inaingia mazima na risasi itakuuwa!!
Huko kigoma hii kitu inaitwa "VIDONO"
Na wakaguru wanaipata kwa mtemi wao anaitwa "JENGA" inapatikana wilaya ya Gairo kijiji cha Idibo- hakatizi maasai hapo kijijini na ikitokea kakatiza huchinjwa kama kuku na jeshi kuu la "MWANO"
Kule kanda ya ziwa inaitwa "BHULABHUKA"
Ilishawahi kututesa hii kitu mwaka juzi bibi alipofikia kufa ktk umri wake wa miaka 100+ alitusubirisha mpaka wiki mbili hafi huku mwili ukiwa umeoza ila bado angali anapumua!!!
Mwishoni alikuja mdogo wake akaamuru tutoboe juu ya paa na mwiba wa nungunungu!!!
Dunia ina maajabu acha kabisa!!