joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,164
- 31,748
Mjini connection ndio mchambaji wenu wa club,ana kazi tatu DC wa Insta, mchambaji wa familia ya Diamond na mchambaji wa yyt atakaye igusa Simba.
Tumetoka kwenye uhamasishaji, sasa wanachukuliwa wachamabaji wa insta hapo ndipo ujue sometimes hatupo serious na image ya mpira wetu.
Tumetoka kwenye uhamasishaji, sasa wanachukuliwa wachamabaji wa insta hapo ndipo ujue sometimes hatupo serious na image ya mpira wetu.