Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,704
- 861,040
- Thread starter
- #141
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... Mondi hataki unafique ni rival wa Ruge [emoji1019] kwenye music industry na biashara ya vyombo vya habari... Lakini kiungwana alitakiwa kutoa neno la pole mbona bash boy kafanya hivyoMkuu umenikumbusha kisa cha Nyani na binadamu. Nyani walikuwa wanakula mahindi ya binadamu. Binadamu akawa anawafukuza wasile mahindi yake. Nyani walikuwa wanamchukia sana binadamu kwa madai kwamba anawabania. Mwaka uliofuata binadamu akafa nyani wakafanya sherehe kwamba kizuizi kimeondoka. Guess what happened.. Msimu wa mahindi ulipo fika no mahindi ..mwisho wa siku nyani wote wale wakafa a natural death. This is what will.happen kwa wasanii wengi wa bongo. Watakao fanikiwa kusurvive watakuwa wachache sana. Kifo cha Ruge ni msiba kwa tasnia ya bongofleva. Halafu nashangaa mpaka sasa hivi Diamond hajapost chochote kuhusu Ruge
Jr[emoji769]