Je Waislam wamekubali kuchonganishwa?

Je Waislam wamekubali kuchonganishwa?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
371,620
Reaction score
860,796
Kwa hali ya kisiasa iliyopo Tanganyika kwaasasa chochote kinachoweza kutumika kuwaweka wananchi busy wasahau kwa muda mambo ya kisiasa kinatumika vilivyo na kwa ukubwa wake

Napo mwanzo wasanii na wanaoitwa watu maarufu walitumika vilivyo kuchepusha mada vilivyo kwa kutengeneza skendo za kila aina

Nyakati za wao kutumika zimeshapita na hawana impact tena.. Lakini bado mamlaka zinawahitaji watu wa kufanya haya mambo

Baada ya mauaji ya Oct 29 mambo yalizidi kuharibika na uhitaji wa kutengeneza drama ukawa mkubwa zaidi

Waislam walijaribu kuchonganishwa na Wakristo lakini hilo likapigwa chini haraka sana

Likaja la Wakatoliki wakajaribu kuchonganishwa wenyewe kwa wenyewe nalo likagonga mwamba

Likaja la Wakatoliki na Walutheri nalo likafa kifo cha asili
Sasa likageukia hili la Waislam kwa waislam.. Likatengenezwa bomu la Osataz Juma na Sheikh Kishki.. Hili limetrend kwa ukumbwa wake.. Mijadala yote ikasahaulika huo ndio ukawa mjadala uliobaki kwenye chart kwa muda mrefu
Hili likiwa linaelekea kupoa.. Likaibuka la kashfa ya Sheikh mkuu wa Dar kuzaa na binti wa kirundi na kisha kumtelekeza
Hili nalo likateka mitandao vilivyo mpaka kupeleka Sheikh kutumbuliwa

Bahati mbaya mno nadhani Waislam hawakuwa smart enough kuona ya kwamba wanatumika na mamlaka

Sasa hivi kuna makundi matatu
1. Kundi la Ostaz Juma
2. Kundi la Sheikh Kishki
3. Kundi lisilo na upande na linalobadilika kulingana na upepo
4. Kuna kundi la Binti aliyepewa mimba na Sheikh na kuna kundi linalomtetea Sheikh
5. Kuna kundi lisilo na upande. Ni bendera fuata upepo

Ndani ya imani moja wamefanikiwa kuwagawa kwenye makundi sita na ushee. Haya makundi sass yana support mpaka kwenye dini na watu wengine nje ya Uislam

Ukiangalia kwenye picha kubwa kuna mkandarasi wake kwenye haya yote na ANAJUKILIKNA!
 
Mkuu, sio kila kitu ni cha kuanzishia uzi. Na sio kila kitu ni kuweka siasa zenu tu. Halafu why mambo ya mtandao unataka kuwaingiza Waislam kama kundi ndani yake. Nani kakuambia Waislam wa Tanzania wanajishughulisha kwa ujumla wao na haya mambo na kuwa na makundi makundi yanayotokana na jambo hili?
 
Waislam walijaribu kuchonganishwa na Wakristo lakini hilo likapigwa chini haraka sana

Waislam walisimamia msimamo wa Amani na kupinga kuleta uchochezi na kuleta machafuko kwa kisingizio cha Haki. Walisimamia Amani. Walisimamia Dini yao inavyowafundisha katika kuamiliana na mtawala na kuhifadhi Amani ya Nchi. Waislam hawapaswi kufuata matamanio ya makafiri, wanatakiwa kuifuata Dini yao.

Pamoja na hayo walisimama kupinga chuki dhidi ya Rais Muislam ambaye anapigwa vita kwa sababu ya Dini yake. Anasumbuliwa na kuwekewa mazingira ya kutotawala kwa Amani kwa sababu ni Muislam.
 
Mkuu, sio kila kitu ni cha kuanzishia uzi. Na sio kila kitu ni kuweka siasa zenu tu. Halafu why mambo ya mtandao unataka kuwaingiza Waislam kama kundi ndani yake. Nani kakuambia Waislam wa Tanzania wanajishughulisha kwa ujumla wao na haya mambo na kuwa na makundi makundi yanayotokana na jambo hili?
Chawa huyo , anatumia hii platform kufanya propaganda zake ..Huyo jamaa ni mnafiki , alisema Mwaipopo ataleta yale ya Rwanda , wakati TEC wanachochea alikuwa kimya ..Huyo ni chawa na ukiwa na akili hauwezi kumsikiliza , mtu mzima hana akili.

Achana naye .!
 
Waislam walisimamia msimamo wa Amani na kupinga kuleta uchochezi na kuleta machafuko kwa kisingizio cha Haki. Walisimamia Amani. Walisimamia Dini yao inavyowafundisha katika kuamiliana na mtawala na kuhifadhi Amani ya Nchi. Waislam hawapaswi kufuata matamanio ya makafiri, wanatakiwa kuifuata Dini yao.

Pamoja na hayo walisimama kupinga chuki dhidi ya Rais Muislam ambaye anapigwa vita kwa sababu ya Dini yake. Anasumbuliwa na kuwekewa mazingira ya kutotawala kwa Amani kwa sababu ni Muislam.
🚮🚮🚮
 
Pamoja na hayo walisimama kupinga chuki dhidi ya Rais Muislam ambaye anapigwa vita kwa sababu ya Dini yake. Anasumbuliwa na kuwekewa mazingira ya kutotawala kwa Amani kwa sababu ni Muislam.
Baljurashi kwa ulichoandika hapa.

Nasikitika kusema wewe ni mmoja wa watu wa hovyo nimepata kukusikia maishani mwangu,nawaza kama una watoto wenye baba kama wewe ni vitu gani unajaribu kuwajaza ktk fahamu zao,hivi umehariri hata kidogo ulichoandika kabla ya kukirusha humu?
 
Mkuu, sio kila kitu ni cha kuanzishia uzi. Na sio kila kitu ni kuweka siasa zenu tu. Halafu why mambo ya mtandao unataka kuwaingiza Waislam kama kundi ndani yake. Nani kakuambia Waislam wa Tanzania wanajishughulisha kwa ujumla wao na haya mambo na kuwa na makundi makundi yanayotokana na jambo hili?

View: https://vm.tiktok.com/ZSXPjTeq8/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
 
Waislam walisimamia msimamo wa Amani na kupinga kuleta uchochezi na kuleta machafuko kwa kisingizio cha Haki. Walisimamia Amani. Walisimamia Dini yao inavyowafundisha katika kuamiliana na mtawala na kuhifadhi Amani ya Nchi. Waislam hawapaswi kufuata matamanio ya makafiri, wanatakiwa kuifuata Dini yao.

Pamoja na hayo walisimama kupinga chuki dhidi ya Rais Muislam ambaye anapigwa vita kwa sababu ya Dini yake. Anasumbuliwa na kuwekewa mazingira ya kutotawala kwa Amani kwa sababu ni Muislam.
Kobazi na amani wapi na wapi? Hawa si ndiyo huwa wanachinjana na kupigana mawe!
 
Kwa hali ya kisiasa iliyopo Tanganyika kwaasasa chochote kinachoweza kutumika kuwaweka wananchi busy wasahau kwa muda mambo ya kisiasa kinatumika vilivyo na kwa ukubwa wake

Napo mwanzo wasanii na wanaoitwa watu maarufu walitumika vilivyo kuchepusha mada vilivyo kwa kutengeneza skendo za kila aina

Nyakati za wao kutumika zimeshapita na hawana impact tena.. Lakini bado mamlaka zinawahitaji watu wa kufanya haya mambo

Baada ya mauaji ya Oct 29 mambo yalizidi kuharibika na uhitaji wa kutengeneza drama ukawa mkubwa zaidi

Waislam walijaribu kuchonganishwa na Wakristo lakini hilo likapigwa chini haraka sana

Likaja la Wakatoliki wakajaribu kuchonganishwa wenyewe kwa wenyewe nalo likagonga mwamba

Likaja la Wakatoliki na Walutheri nalo likafa kifo cha asili
Sasa likageukia hili la Waislam kwa waislam.. Likatengenezwa bomu la Osataz Juma na Sheikh Kishki.. Hili limetrend kwa ukumbwa wake.. Mijadala yote ikasahaulika huo ndio ukawa mjadala uliobaki kwenye chart kwa muda mrefu
Hili likiwa linaelekea kupoa.. Likaibuka la kashfa ya Sheikh mkuu wa Dar kuzaa na binti wa kirundi na kisha kumtelekeza
Hili nalo likateka mitandao vilivyo mpaka kupeleka Sheikh kutumbuliwa

Bahati mbaya mno nadhani Waislam hawakuwa smart enough kuona ya kwamba wanatumika na mamlaka

Sasa hivi kuna makundi matatu
1. Kundi la Ostaz Juma
2. Kundi la Sheikh Kishki
3. Kundi lisilo na upande na linalobadilika kulingana na upepo
4. Kuna kundi la Binti aliyepewa mimba na Sheikh na kuna kundi linalomtetea Sheikh
5. Kuna kundi lisilo na upande. Ni bendera fuata upepo

Ndani ya imani moja wamefanikiwa kuwagawa kwenye makundi sita na ushee. Haya makundi sass yana support mpaka kwenye dini na watu wengine nje ya Uislam

Ukiangalia kwenye picha kubwa kuna mkandarasi wake kwenye haya yote na ANAJUKILIKNA!
Kongole mkuu. Sijaona ile ya wanaume kupoteza nyeti zao japokuwa kwa sasa limepoa au tuseme limepitwa na wakati ila lilitrend sana.
Mwaka ule lilijitokeza la popobawa, sijui kama mbinu ile waasisi wake walisha RIP. Ila nalo lilikuwa si haba.
 
Mkuu, sio kila kitu ni cha kuanzishia uzi. Na sio kila kitu ni kuweka siasa zenu tu. Halafu why mambo ya mtandao unataka kuwaingiza Waislam kama kundi ndani yake. Nani kakuambia Waislam wa Tanzania wanajishughulisha kwa ujumla wao na haya mambo na kuwa na makundi makundi yanayotokana na jambo hili?
Mbona mambo yapo wazi hadharani?
 
Kongole mkuu. Sijaona ile ya wanaume kupoteza nyeti zao japokuwa kwa sasa limepoa au tuseme limepitwa na wakati ila lilitrend sana.
Mwaka ule lilijitokeza la popobawa, sijui kama mbinu ile waasisi wake walisha RIP. Ila nalo lilikuwa si haba.
Kuna drama nyingine ndogondogo nyingi tuu.. Wanatubadilishia cd tuu😀
 
Kwa hali ya kisiasa iliyopo Tanganyika kwaasasa chochote kinachoweza kutumika kuwaweka wananchi busy wasahau kwa muda mambo ya kisiasa kinatumika vilivyo na kwa ukubwa wake

Napo mwanzo wasanii na wanaoitwa watu maarufu walitumika vilivyo kuchepusha mada vilivyo kwa kutengeneza skendo za kila aina

Nyakati za wao kutumika zimeshapita na hawana impact tena.. Lakini bado mamlaka zinawahitaji watu wa kufanya haya mambo

Baada ya mauaji ya Oct 29 mambo yalizidi kuharibika na uhitaji wa kutengeneza drama ukawa mkubwa zaidi

Waislam walijaribu kuchonganishwa na Wakristo lakini hilo likapigwa chini haraka sana

Likaja la Wakatoliki wakajaribu kuchonganishwa wenyewe kwa wenyewe nalo likagonga mwamba

Likaja la Wakatoliki na Walutheri nalo likafa kifo cha asili
Sasa likageukia hili la Waislam kwa waislam.. Likatengenezwa bomu la Osataz Juma na Sheikh Kishki.. Hili limetrend kwa ukumbwa wake.. Mijadala yote ikasahaulika huo ndio ukawa mjadala uliobaki kwenye chart kwa muda mrefu
Hili likiwa linaelekea kupoa.. Likaibuka la kashfa ya Sheikh mkuu wa Dar kuzaa na binti wa kirundi na kisha kumtelekeza
Hili nalo likateka mitandao vilivyo mpaka kupeleka Sheikh kutumbuliwa

Bahati mbaya mno nadhani Waislam hawakuwa smart enough kuona ya kwamba wanatumika na mamlaka

Sasa hivi kuna makundi matatu
1. Kundi la Ostaz Juma
2. Kundi la Sheikh Kishki
3. Kundi lisilo na upande na linalobadilika kulingana na upepo
4. Kuna kundi la Binti aliyepewa mimba na Sheikh na kuna kundi linalomtetea Sheikh
5. Kuna kundi lisilo na upande. Ni bendera fuata upepo

Ndani ya imani moja wamefanikiwa kuwagawa kwenye makundi sita na ushee. Haya makundi sass yana support mpaka kwenye dini na watu wengine nje ya Uislam

Ukiangalia kwenye picha kubwa kuna mkandarasi wake kwenye haya yote na ANAJUKILIKNA!
Mtu yeyote ambaye yuko biased hawezi kuandika kitu chq maana! We ni nyumbu kila mtu anajua kwa maana huwezi kuandika jambo la.maana ktk siasa zaidi ya kushabikia upande wako na kudogosha upande wa pili
 
IMG-20260717-WA0029.jpg
 
Back
Top Bottom