Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,581
- 7,232
Ukweli mchungu...Mkuu tuachane kuzungumzia habari za Marahemu tuzungumzie walio hai na mfano mzuri umemzungumzia mkubwa Fela huyu ndugu anasifika kwa unyonyaji na ni ukweli uliowazi kuwa ni muibua vipaji mzuri lakini kuibua kwake vipaji hakumuondolei sifa yake ya unyonyaji
Mfano mzuri hata wale watoto kina Aslay aliilaghai mpaka jamii kuwa amewajengea nyumba kumbe hakuna lolote na ukumbuke kitu kimoja Mnyonyaji ndio anaetajirika kwa kasi na mvuja jasho huwa aambulii chochote cha mana
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wanamjua vizuri ila ni ule ule unafiki au kiki ...
ndio kinachofanyika..
Sent using Jamii Forums mobile app