Mkuu wangu please umeenda shule na umeelimika sana kiasi kwamba haya sii maoni yako... Unaposema Marekani kwani sisi ni sawa na Marekani ambao wao wanaenzi Ukristu na kuwa msingi wa Utaifa wao. katiba yetu inafanana na yao mbona tunasema kila siku nchi yetu haina dini..Mkuu,siyo kwamba ninapinga hayo unayosema,ila ninachosema ni kwamba hayo ndiyo yametufikisha huku tulipo.So ni lazima mchukuwe responsiblity.
Marekani,UK,Australia na Canada ambapo waislam wana thrive na kuishi vyema kwa amani na kusoma kuna mfumo gani?
Hilo la mfumo krsito ndo mzizi wa fitina,na hapo ndipo waislam na wakristo hawataweza kuelewana hata kidogo.Kwa mantiki hiyo,hakuna maneno yatakayoweza kutufanya tuishi pamoja kwa amani tena.
Hii siyo dini.Zanzibar washaua askari.Ndiyo wanayofundishwa misikitini,
kwa hiyo huyo mtoto aliyekojolea hiyo Quran alikuwa anaujua uislamu vizuri?Tofauti ni kuwa yule bedui alikuwa hafahamu kitu kuhusu uislam lakini hawa leo wanaujua vizuri uislam
Mkuu tatizo tulilonalo la kuhusiana na elimu na afya,ni la kimsingi kabisa kwa wananchi wa Tanzania.Kwahiyo let me assume kwamba unazijali afya za watanzania wote bila ya kujali dini zao,je serikali ambayo imeshindwa kuprovide adequate health services kwa wananchi wake,wakiacha kushirikiana na makanisa,je hao wananchi waislam wakatibiwe wapi?wakasome wapi?Mkuu wangu nimeandika hivi:- Mfumo Kristumaana yake ni pale serikali inaposhirikiana na kanisa kuendesha shughuli za AFYA na ELIMU... Je jambo hili halifanyiki nchini?.. Hili linafanyika sasa hivi na ndio uchcochezi ulipoanza kwa nini serikali isiliondoe, kun ugumu gani?.
Labda nikupe mfano mwingine serikali yetu ikitumia hukumu zinazoendana na Uislaam itakuwa kosa kwa Mkristu kusema tuna Mfumo wa Sharia law? halafu Waislaam wachukie wakati wanaona kweli unatumika?.. Mfano mwingine.. Leo hii serikali nyingi zina mfumo Dume mbona wewe mwanaume huchukii kusikia wanawake wanaposema tuna mfumo dume isipokuwa hapa kwenye Ukristu wakati unajua fika kwamba serikali yetu inashirikiana na makanisa kuhudumia wananchi ktk Afya na Elimu jambo ambalo waislaam hawalipendi..
Sasa ni nani anayeendeza udini na kuwapandisha waislaam chuki kama sio serikali. Hivi kuna tatizo gani ikiwa serikali haitashirikiana na kanisa? kwani nchi gani Makanisa walishindwa kuendesha shule na Hospital zao! kuna ulazima gani kuendeleza mfumo wa kikoloni ambao hata Nyerere aliupiga vita...
- Nasubiri majibu yako..
Mkuu wangu unatumia assumptions na hii sio sawa wala haki. Tulipopata Uhuru tulikuwa na Hospital hata moja, tulikuwa na wataalam wa kutosha mbona tuliupata Uhuru lna leo hii wewe na mimi tumepata elimu na kutosha..haya nayosema ni kwa ajili ya Kesho, maandalizi yoyote ya maendeleo hayataki mavuno leo. hata ya Udini tumeyapanda miaka 20 iliyopita kwa hiyo huwezi kunambia Waislaam watatibiwa wapi? Kwani wewe utatibuwa wapi?..Huu ndi udini naozungumzia maana tayari umeanza kama serikali haina uwezo.. Hizi ndizo mbinu walizotumia kurudisha Hospital na shule na ndizo walizotumia viongozi wetu kuuziana Meremeta, Kiwira na miradi ya serikali..Mkuu tatizo tulilonalo la kuhusiana na elimu na afya,ni la kimsingi kabisa kwa wananchi wa Tanzania.Kwahiyo let me assume kwamba unazijali afya za watanzania wote bila ya kujali dini zao,je serikali ambayo imeshindwa kuprovide adequate health services kwa wananchi wake,wakiacha kushirikiana na makanisa,je hao wananchi waislam wakatibiwe wapi?wakasome wapi?
Kwasababu mkuu solution ninayoiona,ni nyie waislam kufungua vituo vya afya halafu mushirikiane na serikali kuwapatia waumuni wenu huduma hiyo,whats wrong with that?
Kwenye mfumo wa sasa,unaweza kuniambia kuwa serikali peke yake inaweza kuzitoa huduma toshelezi za afya na elimu?Wataweza vipi na wakati hawawezi hadi hivi sasa licha ya kusaidiwa na hayo mashirika ya kidini?
Ama umeshasahau migomo ya madaktari na hata walimu?Wewe unadhani haya mnayoyafanya yana manufaa kwa muislam?ama hata mkristo mtanzania?
Kwasababu wivu wa kimaendeleo ni mzuri kuliko wivu wa kurudishana nyuma,wa chuki na wa kukwamishana.Badala ya kusema eti huduma za afya zinazotolewa na hayo makanisa,ambazo zinawasaidia waumini wote bila ya kujali dini zao,kwamba zisiwezeshwe kuendelea kufanya hivyo,basi ni kutokuwajali wananchi wenzako.
Ndipo hapo hata huwa ninashangazwa sana na ndugu zetu waislam,kwa mfano hata wale wanaojilipuwa,huwa hawajali hata kama kuna waislam wenzao kwenye maafa hayo kwasababu ya kuwekeza kwenye kifo badala ya kuwekeza kwenye uhai.Hivyo sishangazwi na hatua za kutokuwajali waislam wenzako ambao wananufaika na afya na elimu hizo just because azma yako ya kumpinga kafiri inatimia.
Ni lazima tujuwe kwamba kuna mamno ambayo yamechamgia sana haya ya chuki.Kuna mambo ya tamaduni za watu ambayo tumebugia tu na sasa hata ndugu na ndugu hakuna upendo wala kujaliana.
Kwahiyo unataka kuniambia huwezi kuhudumiwa kwenye hospitali ya mission hadi uachane na uislam?Mkuu wangu please umeenda shule na umeelimika sana kiasi kwamba haya sii maoni yako... Unaposema Marekani kwani sisi ni sawa na Marekani ambao wao wanaenzi Ukristu na kuwa msingi wa Utaifa wao. katiba yetu inafanana na yao mbona tunasema kila siku nchi yetu haina dini..
Hawa wenzetu wamefikia mahala hawana Ubaguzi, wameondokana na adha zote na wewe ndio unatakiwa ku fit in the system yao, halafu kila mwananchi anapewa nafasi sawa pasipo kulazimishwa. Tatizo letu tunalazimishana japokuwa ni kinyume cha katiba..Nitakwambia ukweli kwamba Waislaam Marekani au Canada wako Huru kuliko Tanzania iwe ktk swala la Elimu au Afya na serikali zao zinawalipia wagonjwa waliohudumiwa ktk Hospital ama shule sio serikali kutoa fungu la bajeti yake kuendesha Shule au Hospital za kanisa..Hawa wenzetu wanajali UTU sio sisi malimbukeni wa wonna be..
Kwa nini mnaona taabu shule na Hospital zenu ziwe Private? zijiendeshe zenyewe na kutoza ada ama gharama za matibabu ambapo serikali itawalipia wanafunzi au wagonjwa..Leo hii mbali na serikali kutoa mikopo kwa wananzi bado serikali inatoa fedha ktk bajeti yake kuendesha shule hizi. Tumeona migomo ya Madaktari na walimu wakiinyooshea kidole serikali wakati hizi nyingine ni Private owned..
katika mfumo wangu serikali will serve billions watalipia tu ada za wanafunzi na hakuna kutoa fedha ktk bajeti yake kugawana na makanisa na wala hakuna ruzuku. Wafanyabiashara jengeni mashule zenu na serikali itajenga yake hivyo mtoto atachagua shule anayotaka kwenda. hapo ushindani utakuwepo na shule za serikali zitaweza kupimwa ktk ushindani huo. Nyerere aliweza sana tukiona Shule za Private wakishindana na zile za serikali japokuwa zilikuwa chache, vita yetu kitaifa ni kupambana na Umaskini, Ujinga na Maradhi, haya mawili ya mwisho hayawezi kuwa kazi ya kanisa hata kidogo, ni mfumo wa mkoloni unao affect la kwanza..
Unaona sasa tayari umesha anza kutuhukumu.. Chuki itoke wapi? Ni shule gani Private au ya kanisa huko Marekani ilijengwa kwa fedha za kodi ya wananchi? Mkuu ni shule gani za kanisa hutegemea bajeti ya serikali kuwalipa walimu ama madaktari wake. Acha hizo mkuu wangu acha maana hujui unalilitakia kw anchi yetu kazi kulalamika tu inapotokea uhasama kama huu..Hivi hao wanaoilalamikia Barricks, huwa hakuna watanzania wanafanya kazi wnasoma ama kutibiwa na Hospital zao?.. maswali mengine jamani hata siwaelewi..Kwahiyo unataka kuniambia huwezi kuhudumiwa kwenye hospitali ya mission hadi uachane na uislam?
Hilo la shule kuwa private,ninakubaliana nalo,lakini kusema kwamba federal government haitoi misaada kwenye mashirika ama institutions za kidini marekani,utakuwa unanidanganya.Nyinyi mlichonacho ni chuki tu.Sasa nani kasema hamruhusiwi kuiomba serikali iwasadie kwenye shule na hosptitali za waislam?Hapo ndipo kwenye mzizi wa fitna.Ni wivu mbaya,kama ni wivu mzuri,fanya na wewe.Wenye private na uwezo wa kuoperate nao wafanye,lakini nchi yetu ni masikini na hatutakiwi kuwa na muda wa kurudishana nyuma.
Halafu una maana gani kusema kwanini hawakubali shule zao ziwe private!Una maana kuwa si private?Kwani hata institution za private hazitaweza kupatiwa misamaha ya kodi na other incentives kutoka serikalini na bado ikawa ni msaada wa serikali?Mkuu vipi tena?si unaona mwenyewe?
Kila mmoja atapata kuwezeshwa na serikali kutokana na nature yake,lakini serikali haiwezi kuwapangia eti siju wawe hivi ama wawe vile.Msaada wa serikali unaweza kupatikana kwa namna nyingi tu,lakini bado ni msaada.Sasa bado ninaomba unifafanulie maana halisi ya kusema hizo za mission ziwe private,maana si bado wanalipisha?
Duh!Kwahiyo kumbe kusema serikali haina uwezo ni mbinu?Kama unaamini ina uwezo,kwanini musiwaambie wakusaidieni na nyie ili muendeshe shule na hospitali zenu badala ya kutaka kuharibu hata kile kidogo kilichopo?Unajuwa kabisa kuna tatizo sugu la afya na elimu,lakini umelifumbia macho hilo kwasababu gani zaidi ya udini?Mkuu wangu unatumia assumptions na hii sio sawa wala haki. Tulipopata Uhuru tulikuwa na Hospital hata moja, tulikuwa na wataalam wa kutosha mbona tuliupata Uhuru lna leo hii wewe na mimi tumepata elimu na kutosha..haya nayosema ni kwa ajili ya Kesho, maandalizi yoyote ya maendeleo hayataki mavuno leo. hata ya Udini tumeyapanda miaka 20 iliyopita kwa hiyo huwezi kunambia Waislaam watatibiwa wapi? Kwani wewe utatibuwa wapi?..Huu ndi udini naozungumzia maana tayari umeanza kama serikali haina uwezo.. Hizi ndizo mbinu walizotumia kurudisha Hospital na shule na ndizo walizotumia viongozi wetu kuuziana Meremeta, Kiwira na miradi ya serikali..
Serikali haiwezi kushindwa kuendesha Shule na Hospital isipokuwa matumizi yake ndio mabaya.. nadhani mkuu wangu ninatosha kwa leo nimejieleza vya kutosha na msg yangu imewafikia. Mtafakari sana maana swala sio uwezo wa serikali bali makanisa hayahitaji fedha ya serikali kujiendesha yanaweza kabisa kutokana na misaada wanayoipata kutoka wafadhili wa dini. Nchi yetu haina dini hivyo ni makosa makubwa ya Kikatiba serikali kuunda Ubia na kanisa ktk maswala muhimu sana kwa jamii yetu hasa ktk kuondoa Ujinga na maradhi hili ni jukumu la serikali na wafanyabiashara wote (binafsi) watatumia policies moja kwa wote ili waifanye kazi hii kwa ufanisi na faida kwa wote..
- Imetosha nadhani nimeeleweka vya kutosha.
Nikiungana na Mjengwa kwenye hili, moja ya hadithi za mtume Muhammad SAW aliwaambia maswahaba zake kuwa Uislamu ni usafi (al islam nadhif)hapa haku maanisha kuwa unadhifu wa uislamu uko kwenye kuvaa kanzu safi, bagharashia na kikoi au nguo safi pekee! Bali usafi wa muislamu uko mpaka kwenye matendo, moyo na mazingira yanayomzunguka.
Hivi karibuni kumetokea mambo kadhaa ambayo baadhi ya vijana/watu kwenye makundi ya yaliyojumuisha waislamu wamekuwa wanafanya vitendo ambavyo ni kinyume na maadali na utamaduni wa kiisalamu na hivyo kuchafua jina na taswira ya uislamu.
Uislamu ni dini ya amani kama zilivyo baadhi ya dini nyingine, matendo maovu ya wachache yanaharibu taswira ya uislamu, na hii inapelekea waislamu na uislamu kuingizwa na kujumuishwa kwenye kapu moja la mambo mabaya. Kwa neno hili la leo na haya machache ninayo andika, naamini waumini wengine watavaa hekima na busara zao kuuona uislamu na waislamu kwa ujumla kuwa sio dini ya fujo na vurugu, bali ndani ya dini hiyo wapo waumini wachache wenye hulka zenye mhemko kinyume na ustaarabu na hekima za uislamu kama jinsi walivyo kwenye dini nyingine.
Tuungane pamoja kukemea ovu litakalo sababisha kutugawa kwa dini zetu na madhehebu yetu. Tukikaa kimya tutaharibikiwa wote.
Mkuu marekani kuna misaada ya federal,kuanzia hatua zote tu hadi za uendeshaji.Kama siyo directly,basi ni inderectly.Unaona sasa tayari umesha anza kutuhukumu.. Chuki itoke wapi? Ni shule gani Private au ya kanisa huko Marekani ilijengwa kwa fedha za kodi ya wananchi? Mkuu ni shule gani za kanisa hutegemea bajeti ya serikali kuwalipa walimu ama madaktari wake. Acha hizo mkuu wangu acha maana hujui unalilitakia kw anchi yetu kazi kulalamika tu inapotokea uhasama kama huu..Hivi hao wanaoilalamikia Barricks, huwa hakuna watanzania wanafanya kazi wnasoma ama kutibiwa na Hospital zao?.. maswali mengine jamani hata siwaelewi..
duuu ni kweli wawe na burara, pia kwanini waislam baathi ni wastaarabu wengine ni wachoze wa vurugu.Waislam fuateni ushauri huu wa maggid kwa faida yenu na watoto wenu,acheni kuendekeza fujo kwa vitu vidogo vidogo,Hivi kama mtoto wa kiislam angekojolea Biblia mnafikiri wakristo wangefanya mliyoyafanya? Vp leo itokee wakristo wachome msikiti na kuiba mazuria itakuwaje? Tuangalie mbele tutumie hekima na busara kama za maggid kuepusha machafuko.Kwa kifupi tujifunze kuvumiliana.
na mimi nashauri tuwalee watoto wetu kwa kuwaambia ukweli,waislamu kwa wakristo.
watoto wa siku hizi ni wadadisi na akili zao hazikubaliani na vitu vya kufikirika.
ukimwambia mtoto kuwa mtoto ananunuliwa hospitalini ujue akili yake haitatulia mpaka amedhibitisha.
ukimwambia ukichana biblia utakuwa wa bluu na kwa sababu hajawahi kusikia wala kuona mtu wa bluu atajaribu.
TUWE MAKINI NA WATOTO.
Kwa nini mtoto wa kiislamu ampe kuran mtoto wa kikristu ili aikojolee? Wa kumkemea hapa ni nani? mnachikera ndugu waislamu ni kuuma mchana na kupuliza usiku. Kiongozi wenu wa kitaifa aliyekemea hii kero ni nani? Saa nyingine nawaita wehu ila nshakula ban 2
MUNGU YUPO
lakini kumbuka vita havina macho! unaweza kusema wewe una hasira lakini machafuko yakianza pengine wa kwanza kudhurika na machafuko hayo waweza kuwa ni wewe. subira ni kitu muhimu sana.Mtoi na kundi lako, nadhani umemezeshwa propaganda zinazoenezwa na maadui juu ya lile tukio. Waislamu si wajinga kama mnavyotaka watu wafikri. Issue ni kuwa baada ya mama mmoja wa kiislamu kuripoti hii habari ya kokojelea masahafu kwa mama wa ' bedui'. Yule mama alijibu kwa jeuri 'si makaratasi tu hayo'
Hiki ndicho chanzo cha kadhia nzima ambacho watu hawataki kukizungumza badala yake wanalilia guitar na 'whisky' zilizomwagwa altereni!
Dharau za hawa ndugu zako hazivumiliki, hata humu JF unaona mwenyewe, wako hivyo!
Endelea nao, lakini ufahamu walivyo!
Hii ndio akili yako wewe unayejiona kama umesoma sana. Hebu nikuulize swali ni wakristo asilimia ngapi wana shahada ya chuo kikuu? Na je shahada hizo zinawasaidia kuufahamu ukweli wa mambo? mbona wewe mwenye elimu dunia nzuri mpaka leo hii unaamini kwamba Mungu alijidhirisha kama mwanadamu kupitia kwa Yesu, hivi Mungu alikuwa na shida hiyo ya kufanya hivyo wakati vyote vilivyomo mbinguni na ardhini ni kazi yake? Elimu dunia kama hii hata siihitaji kwani hainisaidii hata kidogo. Lakini cha msingi ni hiki inawezekana wewe umepata tu kishahada chako kilichotakana na uchakachuaji wa Ndalichako aliyekupa Division One wakati hustahili, ukaenda chuo kikuu ukapata kidigrii chako cha pass ambacho kimechangiwa na mambo fulani, ndio maana leo hii unaona watu wote hawajasoma. Hizo ndizo fikra mgando.
Nikiungana na Mjengwa kwenye hili, moja ya hadithi za mtume Muhammad SAW aliwaambia maswahaba zake kuwa Uislamu ni usafi (al islam nadhif)hapa haku maanisha kuwa unadhifu wa uislamu uko kwenye kuvaa kanzu safi, bagharashia na kikoi au nguo safi pekee! Bali usafi wa muislamu uko mpaka kwenye matendo, moyo na mazingira yanayomzunguka.
Hivi karibuni kumetokea mambo kadhaa ambayo baadhi ya vijana/watu kwenye makundi ya yaliyojumuisha waislamu wamekuwa wanafanya vitendo ambavyo ni kinyume na maadali na utamaduni wa kiisalamu na hivyo kuchafua jina na taswira ya uislamu.
Uislamu ni dini ya amani kama zilivyo baadhi ya dini nyingine, matendo maovu ya wachache yanaharibu taswira ya uislamu, na hii inapelekea waislamu na uislamu kuingizwa na kujumuishwa kwenye kapu moja la mambo mabaya. Kwa neno hili la leo na haya machache ninayo andika, naamini waumini wengine watavaa hekima na busara zao kuuona uislamu na waislamu kwa ujumla kuwa sio dini ya fujo na vurugu, bali ndani ya dini hiyo wapo waumini wachache wenye hulka zenye mhemko kinyume na ustaarabu na hekima za uislamu kama jinsi walivyo kwenye dini nyingine.
Tuungane pamoja kukemea ovu litakalo sababisha kutugawa kwa dini zetu na madhehebu yetu. Tukikaa kimya tutaharibikiwa wote.