Mkandara, Jasusi, maggid,
..sasa nikirudi kwenye hii mada husika, naomba nigusie hoja moja ambayo uliitoa.
..nakumbuka ulisema kwamba kijana wa miaka 14 au 16 anajua nini anafanya.
..mimi nakubaliana na hoja yako, lakini nadhani pia vijana wa umri huo mara nyingi hawana busara ya kujua madhara ya kitu wanachofanya.
..kwa uelewa wangu ktk umri huo vijana huwa very defiant, na watu wa kupenda kujiona wamekuwa, na hupenda kujaribu vitu mbalimbali.
..nikikumbuka ni katika umri huohuo ambapo vijana huanza mambo kama uvutaji sigara[kubwa na ndogo], hujaribu pombe, wasichana, na kwenye nchi za wenzetu ndiyo unakuta mambo kama gangs, guns, etc etc.
..kwa maoni yangu huu mgogoro ulipaswa kushughulikiwa kwa mtizamo huo. kwamba hawa ni vijana wawili vichwa maji waliokuwa ktk mabishano.
..pia tunapaswa kuhoji wazazi wa vijana wote wawili walishughulikia tatizo hili namna gani. kwanza ni huyo aliyefanya kosa kubwa na kukojolea msahafu. pili ni aliyefanya kosa dogo kwa kuchukua msahafu na kuutumia ktk mabishano yasiyofaa.
..mwisho, mabishano ya hao mabwana wadogo ni reflection ya mambo tunayoyafanya watu wazima siku hizi. wakati mimi na wewe tunakuwa sidhani kama mabishano ya Uislamu vs Ukristo yangeweza kutokea.
..sasa nikirudi kwenye hii mada husika, naomba nigusie hoja moja ambayo uliitoa.
..nakumbuka ulisema kwamba kijana wa miaka 14 au 16 anajua nini anafanya.
..mimi nakubaliana na hoja yako, lakini nadhani pia vijana wa umri huo mara nyingi hawana busara ya kujua madhara ya kitu wanachofanya.
..kwa uelewa wangu ktk umri huo vijana huwa very defiant, na watu wa kupenda kujiona wamekuwa, na hupenda kujaribu vitu mbalimbali.
..nikikumbuka ni katika umri huohuo ambapo vijana huanza mambo kama uvutaji sigara[kubwa na ndogo], hujaribu pombe, wasichana, na kwenye nchi za wenzetu ndiyo unakuta mambo kama gangs, guns, etc etc.
..kwa maoni yangu huu mgogoro ulipaswa kushughulikiwa kwa mtizamo huo. kwamba hawa ni vijana wawili vichwa maji waliokuwa ktk mabishano.
..pia tunapaswa kuhoji wazazi wa vijana wote wawili walishughulikia tatizo hili namna gani. kwanza ni huyo aliyefanya kosa kubwa na kukojolea msahafu. pili ni aliyefanya kosa dogo kwa kuchukua msahafu na kuutumia ktk mabishano yasiyofaa.
..mwisho, mabishano ya hao mabwana wadogo ni reflection ya mambo tunayoyafanya watu wazima siku hizi. wakati mimi na wewe tunakuwa sidhani kama mabishano ya Uislamu vs Ukristo yangeweza kutokea.
Last edited by a moderator: