Brown73
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,100
- 683
Nilidhani wapinzani wangekuja na mpinu za kuonyesha uwezo na speed ya maendleo ya nchi zaidi ya Mh magufuli lakini wao wanakuja na masuala ya kupinga... Tutafiak wapi kama ndio hivyo?? mmoja ajitahidi kujenga na mwingine anajitahidi kubomoa.. Unweza ukapinga ndio lakini si lazima ukapinga kila kitu badalayake ukaonyesha njia mbadala ambayo ni nzuri zaidi.