Kama kupambana na mafisadi na kuelekeza fedha za anasa kwenye shughuli za maendeleo ni kuvunja sheria, bora rais wetu aendelee tu kuzivunja kwani zina manufaa kwa taifa
Kwa mara ya kwanza namuunga mkono Lizaboni kwa maoni haya!!
Kama kupambana na mafisadi na kuelekeza fedha za anasa kwenye shughuli za maendeleo ni kuvunja sheria, bora rais wetu aendelee tu kuzivunja kwani zina manufaa kwa taifa
Ndiye kiongozi tunayemtaka anaonesha msimamo wake pale makosa yanafanyika na wao kama sehemu muhimu ya kushauri wanatoa ushauri bali haufuatwiKiongozi anayetufaani huyu anayesusia vikao vya Bunge au akiwemo asichangie huku mshahara anachukua. Nadhani hili ndilo sahihi, au siyo.
Maswala ya chama yanakihusu chama chenyewe kama kwenye chama Mwenyekiti anaweza kuja na majina yake mfukoni sio kwenye nchi nchi inaendeshwa kwa taratibu umenena vizuri wabunge wa chama tawala wangepigia kura tu bila hata kuchanganua bila kuhoji wala kuongeza ushauri hizo ndio siasa zenu lakini sio siasa za kuendeleza nchi hizo.
Fedha zote zinazookolewa au kubaki zinarudi hazina, sio mtu kujipangia tu. Sasa kama serikali ingekuwa inajipangia tu, nini mantiki ya bajeti ya serikali kupelekwa bungeni na kisha kupigiwa kura?Hapa ndipo ninapowaona wapinzani ni wajinga. Hivi kwao sherehe za uhuru ni bora zaidi kuliko Ujenzi wa Barabara ya Mwenge to Morocco?
Wataenda sawa, lakini Nani anamteua Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu?Wameshaambiwa kama wanaona katiba imevunjwa watafute msaada wa wanasheria waende mahakamani.
Wataenda sawa, lakini Nani anamteua Jaji Mkuu na Mwanasheria Mkuu?
Iweje serikali za CCM kwa miaka yote zilishindwa kutatua changamoto za madawati?Leo ndio nimejiona nyumbu kabisa! Sitarudia tena kuzungusha mikono, hawa ndio niliwapa kura yangu? Mbowe unaona bora safari za kamati za bunge kuliko madawati?
Sawa wewe unga mkono lolote atakalosema akili na utashi wako vimeishia hapo lakini waache wenye upeo wapambanue mambo na wasifie palipo pazuri na pasipofaa wakosoe wewe endelea kushabikia.Kwahiyo kwa akili yako kuvunjwa katiba ya chama ni halali lakini katiba ya nchi ndiyo hapana.
Katiba zote zina umuhimu uleule sababu ndiyo muongozo ambao jamii husika imaamua kujiwekea sasa usilete hoja za kitoto hapa kumtetea Mbowe japokuwa najua huyo ndiye mungu wenu hakosolewi.
Actually rais anavunja sheria na mimi namuunga mkono kwamba aivunje tu sababu huu siyo muda wa kupigiwa porojo na wanasiasa,nachotaka kuona ni matokea chanya siyo blah blah.
Hivi unatumia akili yako vizuri kweli yaani Leo hii kufanya mambo ya maana kukabiliana na ununuzi Wa dawati kwa ajiri ya watoto kwako unaona ni vibya ???mbona mbowe alijiongezea muda kinyemelela mkamtetea ????hakuvunja katiba ya chama !,??Maamuzi mpaka ya Bunge yanafanywa na mtu moja au wawili alafu unayabariki?
Hapa ndipo ninapowaona wapinzani ni wajinga. Hivi kwao sherehe za uhuru ni bora zaidi kuliko Ujenzi wa Barabara ya Mwenge to Morocco? Hivi tuna wapinzani wa aina gani katika nchi hii kiasi ambacho wanapinga hata hatua nzuri Inazochukuliwa na serikali. Najua inawauma sana kuona ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea kwa kasi na soon itafunguliwa. Poleni sana
Si anaenda bure kwa fedha za umma kwani unadhani lengo kuu la mbowe pale alipo ni nini??? MkuuMbowe hakuzaliwa kwenye vibanda vya nyasi wala hakujifunzia kuvaa viatu na nguo za ndani baada ya kufika chuo kikuu baba yake ndio alikuwa anampa Nyerere suti na nauli ya kwenda UN itakuwa yeye kwenda Dubai you must be jocking maskini nyie, ndio maanaa munataka kuturudisha nyuma tuanze kuvaa suruali za viraka kwa kisingizio cha watu maskini CCM imetawala miaka yote hiyo kwa nini hakuwezesha shule kuwa na madawati achene porojo
Unadhani Makahama hapo itakuwa huru?Mimi na Watanzania waliowengi tunamchaguwa Rais ambae katiba yetu inampa uwezo wa kuwateua hao na wengine pia.
Acha porojo mmekosa hoja now mnalialia na sheria kama ulimskiriza mbowe btn line alisema magufuli anafanya mambo ambayo wapinzania wamekuwa wakisema kwa muda mrefu!,but akasema wanataka kuzuia bunge kwa kuwa wao wana plat form inayowabeba ! Means mbowe anatafuta jukwaa la kumbeba aonekane !but siungi mkono bunge kuto onyeshwa Ila sometime viongoz nao wazingua wangekuwa na hoja moja siyo kupinga every thingsYaani unajua kabisa kuwa ulichokiandika siyo sahihi lakini kwa sbb wewe ni mjinga unataka wote utuambukize ujinga wako!!
No way please!!...
Kinachotakiwa ni kimoja tu hapa, kufuata taratibu na sheria zaidi sana katiba ya nchi awe anaamua jambo zuri kwa watu au baya. period!!
Kwani kuomba kufanya hayo mambo mazuri ambayo hakuna mtu yeyote anayoyapinga kulihitaji miaka mingapi kama siyo masaa matano au sita au siku moja basi!?
Kumbuka Rais wako aliapa akiwa ameshikilia KATIBA na kuahidi kuwa atailinda na kuitetea kwa hali zote huku akiwa ameshikilia BIBLIA TAKATIFU na mwisho akamalizia kwa kusema MUNGU NISAIDIE....!!
Leo kimemtokea nini eti Ngosha wenu???
Acha porojo mmekosa hoja now mnalialia na sheria kama ulimskiriza mbowe btn line alisema magufuli anafanya mambo ambayo wapinzania wamekuwa wakisema kwa muda mrefu!,but akasema wanataka kuzuia bunge kwa kuwa wao wana plat form inayowabeba ! Means mbowe anatafuta jukwaa la kumbeba aonekane !but siungi mkono bunge kuto onyeshwa Ila sometime viongoz nao wazingua wangekuwa na hoja moja siyo kupinga every things
Sawa wewe unga mkono lolote atakalosema akili na utashi wako vimeishia hapo lakini waache wenye upeo wapambanue mambo na wasifie palipo pazuri na pasipofaa wakosoe wewe endelea kushabikia.
Ee ndio piga vigelegele
acha ujinga we nae,, hivi mfuko wa cement unaouzwa 25,000/= kisha hao unaowatetea kufanya mambo yenye manufaa kwa wananchi wakaandika kwenye vitabu waliununua mfuko huo huo 250,000/= unawatetea kwa kipi? anyway kwako sio shida sana kwakua wameongeza 'sifuri' moja tu kwenye iyo nambaJP akumbuke kwamba hao wengine ambao anawaita majipu au wezi sio kwamba walichukua pesa wakaweka mfukoni mwao bali walifanya vitu vya manufaa ya wananchi na vingine vinaonekana lakini kwa sababu hawakufuata kanuni au sheria za fedha CAG au mamlaka nyingine zilipokagua zikaona huo ukiukwaji, ndio hao akiletewa taarifa anawatumbua. Hivyo na yeye asifanye hayo ya kukiuka sheria za fedha kwa sababu yeye ni Rais hata kama nia yake ni njema