Unaogopa kujibu? Haya ndg yangu tufanye yameisha.Swali juu ya swalli maana yake ni nini
Unaogopa kujibu? Haya ndg yangu tufanye yameisha.Swali juu ya swalli maana yake ni nini
acha kijiparura nipo hapa kwa minajiri ya kujibu hoja tumesema Magufuli haiheshimu sheria ya bajeti ya mwaka 2015 na haeheshimu sheria ya fedha za umma ya mwaka 2015 MAGUFULI NI JIPU anapaswa kutumbuliwa kwa kukiuka sheria hizi muhimu katika kutuletea maendeleo ya nchi kipi usichokielewa wewe nyie ndio munamjaza pumzi hewa huyo mtu wenu mwambieni kwamba kinga yake yakutokushitakiwa isimfanye akawa dictator na mvunjaji wa sheria maana hata seriklali yake ni serikali magumashi haijawa gazetted hijatangazwa kwenye gazeti la serikali wala hajatengeneza mwongozo,wa kuongoza wizara ambazo ndio zinatekeleza matumizi ya fedha
Haukuwa nyumbu kabla wala baadaLeo ndio nimejiona nyumbu kabisa! Sitarudia tena kuzungusha mikono, hawa ndio niliwapa kura yangu? Mbowe unaona bora safari za kamati za bunge kuliko madawati?
Wewe ni mganga wa hao wenye mizuka au unawajua tuUkiwa na Mizuka lazima uandike uliyoandika
Kama wewe mkuu umeshawahi kuajiriwa serikalini, jaribu au mwambie ndugu yako afanye hicho unachoita Achievement ukiwa mtumishi au kiongozi mwadimizi wa serikali, kama hutanyea ndoo Segerea!Mimi nawachukia sana hawa wanaojali sana processes (utaratibu) kuliko achievements. Wengi wao utakuta wanapenda kuendeleza uvivu, uzembe, rushwa na ufujaji. MAGU ndiye mtu tunayemhitaji as long as haamuru kuminywa mapu..u kwa wapinzani!
Mimi nawachukia sana hawa wanaojali sana processes (utaratibu) kuliko achievements. Wengi wao utakuta wanapenda kuendeleza uvivu, uzembe, rushwa na ufujaji. MAGU ndiye mtu tunayemhitaji as long as haamuru kuminywa mapu..u kwa wapinzani!
Kwa yeyote mwenye uelewa akisoma tu mchango wa yeyote anaweza kujua uwezo wake wa uelewa,ufuata mkumbo,ukereketwa usio na manufaa n.k.Wewe bila kukapua macho au kujiuliza sana ni kiongozi wa hao.Tangu lini upinzani au watendaji wake wakanufaika na ukwapuaji wa mafisadi wa chama tawala ilihali wao hawateuliwi kwenye nafasi za uongozi wa nchi?Sawa mnampenda Magufuli kwa tendaji wake ila hamjamchagua ninyi peke yenu.Ana kura za upinzani na wasio na chama na ni raisi wa wote.Mch. Msigwa alipokua anasifia utendaji wa raisi Magufuli yeye ni wa ccm?Aliekwambia wapinzani hawaridhiki na utendaji wa raisi ni nani?Ila lazima aongoze kwa kufuata sheria na katiba au hata hilo hulielewi au unafikiri yeye yuko juu ya sheria na katiba ya nchi?Kwa awezo na uelewa wako hili jukwaa umekosea njia jaribu mengine na yapo mengi na ya udaku ndio hayo hayo ya mipasho.Mimi nawachukia sana hawa wanaojali sana processes (utaratibu) kuliko achievements. Wengi wao utakuta wanapenda kuendeleza uvivu, uzembe, rushwa na ufujaji. MAGU ndiye mtu tunayemhitaji as long as haamuru kuminywa mapu..u kwa wapinzani!
Labda kuna kifungu cha katiba kinachompa nguvu raisi kutekeleza shughuli muhimu za maendeleo bila kupitia bungeni.
Acha bhange wewe Chato huwezi kupalinganisha na Monduli wala huko Hai, Niambie kidogo tu ndiyo mfano wa mapungufu ya watu wako uliowaamini Monduli ni wilaya ya miaka mingi sana kabla ya chato lakini kuna njaa elimu na maji ni shida japokuwa mbunge wake amekuwa waziri wa maji, ardhi, na hatimaye waziri mkuu hata traffic light hakuna ila chato zipo huko hai ndiyo sisemi kabisa tabu kwenda mbele japokuwa mbunge wa huko anatamba kujua sheria na katiba sijui amewasaidia nini wanachi wa huko Mungu atahukumu ukweli na unafiki.
Basi itangazwe kuwa kwa kipindi cha magu katiba inawekwa pembeni yeye awe kila kitu! Acheni kulea na kutetea upuuzi na udiktetaSasa ukweli wa kinachoitwa 'upinzani' kinaonekana. Hawa wanataka kutuchelewesha tu. Hakuna aliyekuwa akijali vipengee hivi kama JK pamoja na maovu yote yaliyotokea mbona bunge halikuweza kumdhibiti. Haihitaji elimu kubwa kuona kwamba MAG anafanya kwa manufaa ya wananchi. Upinzani sasa ni wazi wanagombea mlo, kwani walikuwa wakinyofolewa kitu katika hivi vijisenti senti !
Sii taifa lote sema mbumbumbu WA taifa ambao kwa bahati mbaya Ni wengi Sana Wako Nate hats hawako tayari kuona ukweli mweupeHaitawasaidia kitu kwa sababu taifa lote lipo na Magufuli
Kwahiyo mizuka ni sahihi kwakoMbona hausemi sheria gani zimekiukwa, unabaki kusema tu kakiuka sheria? Wewe hio sheria unazijua au unaishia kuambiwa tu wanasiasa? unawaamini vipi wanasiasa waliowahi kukuambia huyu ni fisadi na wakaitoalist of shame halafu wanasiasa wale wale leo wako na wale waliowataja kwenye list of shame huku waki wa endorse na kuwasifia nchi nzima? Usimtegemee mwanasiasa kukwambia ukweli.Utafute ukweli. Sheria zipo kwa kingereza na kiswahili. Jisomee sheria ya fedha za umma ya mwaka 2001,soma katiba,hautapata tabu kujua nani mkweli na nani laghai.Usiamini kuwa unajua, tafuta maarifa zaidi.
Niogope Mizuka auUnaogopa kujibu? Haya ndg yangu tufanye yameisha.
Hapa ndipo ninapowaona wapinzani ni wajinga. Hivi kwao sherehe za uhuru ni bora zaidi kuliko Ujenzi wa Barabara ya Mwenge to Morocco? Hivi tuna wapinzani wa aina gani katika nchi hii kiasi ambacho wanapinga hata hatua nzuri Inazochukuliwa na serikali. Najua inawauma sana kuona ujenzi wa barabara hiyo ukiendelea kwa kasi na soon itafunguliwa. Poleni sana
Tanzania ya viwanda = Mzuka full
Pumba kabisa,watu wengine sijui mnatumia nini kufikiri. .....wewe nawe unaweza sema nini kupakata wanaume wenzako na umbeya ndio unakupa vyeo nakusha kwenye mitandao magari unayotumia ofisi unazotumia za walipa kodi kwani ni mali ya mama yako acha ujinga wewe mpenda misifa hafiki mbali kasha anza kulia lia kila siku mara muniombee tumuombee alivyomba kazi hakujua kuna ugumu mara ooh kuna wanaonipinga hakujuwa nchi ina wananchi milioni hamsini wana maoni yao mara huu wananisema alidhani nchi kakodishia kanga aache mara moja afuata sheia za nchi na wewe uacha kuchongea watu
Hizo sheria ziendelee tu kuvunjwa mana hakuna namna kama unaona kufanya sherehee ni bora kuliko madawa na vitanda muhimbili ,magu vunja tu ....mnataka bunge live kwani press conférence ile...pale ni sehemu ya kazi...pumbavu kabisa hawa wazungusha mikono