Ni mwendawazimu pekee ndiye anayeweza kumwamini Mbowe nasema hivyo kwa sababu moja tu kubwa hivi pesa za sikukuu ya uhuru zingejadiliwa bungeni zingebaki ngapi baada ya kuendesha mjadala juu ya fedha hizo zikiwemo hizi za 26/4/2016 Muungano kwa hiyo tucheleweshe maendeleo kwa ujinga wa upinzani maajabu makubwa sana ya upinzani wa nchi yetu lakini ni katiba hiyohiyo inampa mamlaka Rais ya kubadili matumizi ya fedha bila kulishirikisha Bunge mnaoingia humu mwambieni Mbowe akasome sehemu zote ZA KATIBA na siyo kipengele kimoja tu hasa akasome mamlaka ya Rais ambayo yeye Mbowe hayajui anafikiri ni ya mwenyekiti wa chama cha siasa.
Mbowe ningemwona wa maana sana kwa Taifa hili kama angesema hizo fedha zimeingia kwenye akaunti ya Magufuli lakini pesa zinapelekwa hospitali bado tusubiri mjadala bungeni , fedha zinaboresha huduma za jamii Mbowe unapiga kelele watu wanakufa kwa kukosa huduma hospitali wewe unataka mjadala wakati watu wanaangamia kweli wewe unaitakia mema nchi hii HAKIKA MUNGU ATAKULAANI KWA UNAFIKI WAKO NA KABLA HUJAITOKA DUNIA HII MUNGU ATAKULIPA SAMBAMBA NA MATENDO YAKO UNALETA SIASA KWENYE MAISHA YA BINADAMU ILI WAANGAMIE MUNGU YUPO UTAVUNA SAMBAMBA NA MATENDO YAKO.