Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
Data zinaonyesha 2005_2007,idadi ya watanzania waliohitimu vyuo walikua 0.003%,wakati kenya ilikua 6%.Nahitaji kuju za kuanzia 2008 tafadhali naombeni mnipe data.
Imefkia 98% ndo maana serikali imeamua kuanza kuwaignore.
hizi data umezipatia wapi. Hata baada ya miaka 100 hatuwezi fikia hapo.
sasa mkuu,mpaka nchi inafikia kuwanyma ufadhali ktk elimu raia wake,c kwamba wameridhka na idadi ya graduates waliopo?
Hivi SI na wewe ni graduate?mafisadi hawataki watz wengi waelitmike
mafisadi hawataki watz wengi waelitmike