Biashara ya nguo za watoto

onike kaponko

Member
Jul 7, 2023
5
2
Naombeni ushauri nahitaji kufungua kampuni ya kuuza nguo za watoto kutoka china na uturuki me na ke kuanzia miaka 2-15 niwe nauzia Wafanyabiashara wakubwa na wadogo vipi kuhusu soko hilo la nguo kwa tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom