nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 202
- 425
Wakuu kwa wale wadau wa elimu naombeni mnipe changamoto za twisheni ili niweze kuzihandle vizuri.. Lengo nipige kuanzia darasa la 1 adi form 6 Leo nimeanza na 5 form 4 watarajiwa vipi niwafanyie bei gani? Ili wasione nina tamaa ya pesa kuliko huduma Asanteni