World Vision Ni shirika la kikristo limeanzishwa na mkristo mwinjilisti kuwasaidia watu wanapoamua kuwa wakristo na misingi yake ni ya kikristo hivyo mwislamu hawezi kwa sababu mambo yao ni ya kikristo kristo.
Ndiyo maana wanauliza vifungu vya biblia kujiridhisha kwamba candidates ni wakristo. Kwa hiyo ukiwa ni mwislamu usihangaike kutafuta nafasi ya kazi humo labda ubadilishe dini au utafute mashirika ya kiislamu.
ndio maana nimesema lifutwe hili shirika la kibaguzi. halina maana yoyote