WORLD VISION ni shirika la wachaga??

WORLD VISION ni shirika la wachaga??

Status
Not open for further replies.
Ila nimegundua wachaga wamekuwa mwiba kwa wanasiasa na wanataaluma!!! They are fighters. Ni nani asiyetaka kuajiri chapakazi? Tusiende mbali enzi TRA wanaajiri wachaga walipata mapato maana mchaga anakazana apate nyingi ili naye apige zake. Majungu yalipoanza na vinoti toka juu kuwa wachaga wasipate ajira kule tra sasa walioajiriwa kazi ni kuketisha vitambi ofisini na ikiingia hela kidogo wanagawana na serikali.
 
Ila nimegundua wachaga wamekuwa mwiba kwa wanasiasa na wanataaluma!!! They are fighters. Ni nani asiyetaka kuajiri chapakazi? Tusiende mbali enzi TRA wanaajiri wachaga walipata mapato maana mchaga anakazana apate nyingi ili naye apige zake. Majungu yalipoanza na vinoti toka juu kuwa wachaga wasipate ajira kule tra sasa walioajiriwa kazi ni kuketisha vitambi ofisini na ikiingia hela kidogo wanagawana na serikali.

wachagga wameifilisi sana tra, hakuna kazi yoyote waliokuwa wanafanya zaidi ya wizi
 
Abayepiga vita wachaga ana lake jambo. Nimeoa huko na sijutii uamuzi huo. Na karibia majirani zangu kijijini na some friends through me walikwenda huko huko. No regrets.
 
Ningekuwa kilaza ningekesha jf kulia na makabila uku wao wakisonga mbele,endelea kulia kesho nakuja kukuhamisha hapo na familia yako..

haha kwa taarifa yako namiliki eneo kubwa mara mbili ya mkoa wa kilimanjaro
 
world vision ni shirika la kibaguzi sana.. kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia,, yani kama wewe sio mchaga na mkristo hupati kazi hapo

Ni shirika au ngo ya kikristu!! Wewe uko nchi gani? Wakristo wangapi wameajiriwa moslems ngos? Mfano muslim funds? Ninazozijua mimi? Kila imani ina mipaka yake. Pole sana.
 
kuna watu hapa wanadai kuwa shirika limejaa wachaga kwasababu wao ati wamesoma sana, huo ni UONGO wa hali ya juu.. nitaeleza.. katika shirika la world vision majority wa staff wake ni jamaa wanaitwa CRS (mwaka 2012 walibadilishwa jina na kuitwa DA, na kuanzia Oct 1, 2013 wameanza kuitwa SPF) hawa jamaa (CRS/DA) kabla ya octoba mwaka jana karibia wote walikuwa ni form VI leavers!!! Walikuwepo mmoja mmoja wa kuokoteza ndio walikuwa form six, na wengine wana certificate!! Waratibu wa miradi na baadhi ya PF ( project facilitator) ndio walikuwa na shahada! Lakini DA's/CRS karibia wote hawakuwa hata na diploma (hapa tunaongelea zaidi ya wafanyakazi 1500 tanzania nzima)! Ni mwaka jana tu hapa octoba ndio wamebadilisha hiyo tittle na kuiita SPF (sponsorship and project facilitator) na wakaweka sharti muombaji awe na angalau diploma! Lakini miaka yote hawa jamaa walikuwa ni form VI leavers tena wale waliokosa nafasi za kwenda advanced level!! Sasa ninyi wenzetu: mnaopiga kelele kuwa wachaga ni wasomi ndio maana wamejaa World: Vision, mnataka kutuambia kuwa hakuna WALUGURU waliomaliza form VI mpaka mchukue form VI wa arusha muwapeleke Morogoro, inamaana hakuna WAHA Waliomaliza form 4 mpaka mpeleke wachaga kigoma, hakuna wazigua wenye form 4 pale korogwe na lushoto na korogwe????
Cha kushangaza zaidi kuna ADP moja pale Morogoro cluster office, ambapo wameajiri Office attendant (mfagiaji) mchaga kutoka arusha huyu dada anaitwa Matilda! Inamaana waluguru na wapogoro hawajui kufagia!!! Unaweza kusema hii ni coincidence?????
 
Ndio maana hata muhimbili hospitali ni wao tu

Yale masomo magumu ya kuwafanya wawe na sifa za kuwa madaktari au wafamasia si ndiyo hao vipanga wa kichaga wanaweza? Wachaga ni mitambo mingine!!! Chezea physics, chemistry, biology abd mathematics!!
 
wachagga wameifilisi sana tra, hakuna kazi yoyote waliokuwa wanafanya zaidi ya wizi

Wanakusanya kwa wingi na kula. Mbona mafisadi wanajilia tu zikishafika hazina? Cha msingi wanapiga mzigo. Mliowaajiri tra kwa sasa kwa kuogopa wachaga wanapepea vitambi tu. Hawatoki ofcn kwenda kupambana na tax evaders.
 
Wanakusanya kwa wingi na kula. Mbona mafisadi wanajilia tu zikishafika hazina? Cha msingi wanapiga mzigo. Mliowaajiri tra kwa sasa kwa kuogopa wachaga wanapepea vitambi tu. Hawatoki ofcn kwenda kupambana na tax evaders.

kama wanakusanya na kula ndio wanafanya nini, huo ni wizi we taahira kweli.. tra iwaondoe wachaga wote ndio kodi itakusanywa vizuri
 
sikatai kuwa kuna weza kuwa na kaupendeleo. lakini niweke wazi maeneo mengi tz yanatofautiana itikadi. moja ya itikadi ya wenzetu huko moshi ni kusomesha watoto.

kuna familia nyingi unakuta kipaumbele ni mme kuowa na mke kudai talaka na watoto kulelewa bila muelekeo. sisemi kuwa hawawezi toka wasomi lakini mazingira sio user friend. mbona wahaya ndio wanaongoza kufundisha vyuoni hujasema?

Mtazamo wa roho mbaya ya mizimu-ndiyo maana kila kitu Tz substandard
 
kam umeoa uko sisi tufanyeje

Nakuhakikishia tu nisemalo kuwa hawa wachaga ni wachapakazi. Hata vijiji vyao nyumba za udongo ni za kuhesabu tena kwa mbali sana. Achilia huduma za jamii tena wanachimba mitaro ya mabomba ya maji wenyewe. Wengine laleni mkiamka pambaneni na wachaga. Hamuwawezi. Nilisoma shule za huko miaka hiyo na nilidhamiria na kumwomba Mungu aniunganishe ukoo uchagani.
 
Nakuhakikishia tu nisemalo kuwa hawa wachaga ni wachapakazi. Hata vijiji vyao nyumba za udongo ni za kuhesabu tena kwa mbali sana. Achilia huduma za jamii tena wanachimba mitaro ya mabomba ya maji wenyewe. Wengine laleni mkiamka pambaneni na wachaga. Hamuwawezi. Nilisoma shule za huko miaka hiyo na nilidhamiria na kumwomba Mungu aniunganishe ukoo uchagani.

moshi hamna maendeleo yoyote
 
kama wanakusanya na kula ndio wanafanya nini, huo ni wizi we taahira kweli.. tra iwaondoe wachaga wote ndio kodi itakusanywa vizuri

Bahati nzuri nina busara situmii maneno ya kihuni katika post zangu kamwe. Endelea kutoa povu na kuita watu majina ya vijiwe vya bangi na gongo. Msomi na mwenye busara ni lazima uwe na lugha ya busara. Hapa ni kweli tupu penda usipende. Chagaaaaaaaz hoyeeeeee, juuuu zaidi. Mnaogopwa kufa. Njooni huku muone mapovu ya gongo yanavyotoka kwa kasi. Tishio ati uncle.
 
moshi hamna maendeleo yoyote

Si maendeleo tu, hata kwa usafi wanaongoza na tuzo walipata!!! Toa definition ya development au maendeleo!!! Tena basing on human development definition. Moshi wako juu. Kasome indicators of human development just google then uongee!!!! Wachaga juu zaidi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom