WORLD VISION ni shirika la wachaga??

WORLD VISION ni shirika la wachaga??

Status
Not open for further replies.
Mimi siyo mchagga lakini wanasema ujanja kupata

Bold angeeleza process nzima ya hizo ajira ilivyokuwa, mpaka wakapatkana wachaga watupu, ningemuelewa, lkn kuhoji tu bila kujuwa ilikuwajekuwaje mpaka wakajazana huko, ni kuwaonea wachaga. Kama kazi zilitangazwa wakatokea haohao ina maana mradi usifanyike kisa kabila moja au?


Baadhi ya maeneo kama sio yote huko WVT, nafasi za kazi zinauzwa. World Vision sio ile ya zamani iliyosifika.
Nafahamu miradi ya WVT iliyokwama kwa sababu za kijinga, lakini miradi ya aina hiyo hiyo imefanyika vizuri pale Kenya.
Nchi hii inavurugika kwa kasi kubwa sana ndugu zangu. Laiti ingekuwa jambo rahisi kueleza kiini cha matatizo ya nchi hii...
 





Baadhi ya maeneo kama sio yote huko WVT, nafasi za kazi zinauzwa. World Vision sio ile ya zamani iliyosifika.
Nafahamu miradi ya WVT iliyokwama kwa sababu za kijinga, lakini miradi ya aina hiyo hiyo imefanyika vizuri pale Kenya.
Nchi hii inavurugika kwa kasi kubwa sana ndugu zangu. Laiti ingekuwa jambo rahisi kueleza kiini cha matatizo ya nchi hii...

wachaga hao, wanaifilisi world vision taratibu
 
Mbona hamuhoji kampunizakichina kujaza wachina, wahindi kwa wahindi, waabu........ eg oilcom anapojenga masikiti kwenye station zao mbona haajengi na kanisa pembeni?
 
subiri 2015 tunamweka mmachame lowasa madarakani au mbulu dr slaa, ndio mtaijua kanda ya kaskazini vyema. maaana mnalalamika sana. nimesoma chuo katika darasa la watu 72 mluguru alikuwa mmoja tu, nusu ya darasa chaga,wakifuatiwa na wahaya then nyakyusa, unategemea wakiingia kwenye ajira itakuwaje?
mfano mwingine unakuta kwenye familia ya kichaga watoto 9 sita wana bachela, wawili diploma na mmoja certificate, nenda na ratio hiyo kwa karibuni kila familia ya kichaga, halafu linganisha na makabila mengine, yaani kuna makabila kizazi chao ndio kinaamka saa hizi kusomesha .unategemea nini? ukija na kwenye biashara si ndio utapagawa? somesheni acheni kulalamikalamika
 
Sijawahi isikia nchi ya Kaskazini...

Namaanisha tunatawala Tanganyika......Na sasa tupo nchi ya Zanzibar tunatawala huko...

Need I say more?

mnatawala au mnafanya ujambazi huko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom