Kwani yeye Kitilya anampenda Zitto?
Nashangaa hata JK anawateua wachaga kuwa wakurugenzi wa mashirika ya umma. JK ana ukabila sana
kwanini kitillya amejaza wachagga tra? hawana kazi yoyote wanayofanya zaidi ya kuiba kodi zetu tu
Ukimaliza kulialia jiue uzaliwe upya..wachaga ni wabaguzi sana,, tatizo hr wao ni mchaga anaweka wachaga wenzake tu..
Kama kuna mtindio Jf basi ili jamaa linaongoza,hakuna mada inayopita jf bila kulialia..world vision ni shirika la kibaguzi sana.. kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia,, yani kama wewe sio mchaga na mkristo hupati kazi hapo
Wiki iliyopita kule Marekani makao yao makuu wametangaza kuwa wanautambua ushoga na katika ajira zao wameondosha kipengere cha kupinga mashoga kuajiriwa katika shirika lao.world vision ni shirika la kibaguzi sana.. kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia,, yani kama wewe sio mchaga na mkristo hupati kazi hapo
ahaaaa wewe acha kuzingua banaaa mbona dar office c wachagga pale banaa.....dodoma mbona c wachagga,bukoba,karagwe,kigoma,kalindi,na most of rurals cluster mbona c wachagga...ila ukweli wapo ila c kwa number unayosemaa wewe...nimeishi sana arusha na huku ndiko makao makuu yao na wana projects nyingi sana wenyewe wanaziita adp's cha ajabu kila adp ofisini wote ni wachaga! Nilishtuka kidogo lakini nikapotezea nikajipa moyo labda 'mcheza kwao utunzwa' (wachaga>>arusha) baadae nikahamia tanga nako wana adp nyingi sana wilaya tofauti tofauti nako pia hali ni ileile kila ofisi ya adp unayoenda wachaga wamejaa!!! Ikaniuma kiduchu nikajipa moyo labda kwasababu tuko nao karibu (tanga na arusha).. Sasa last week nimekuja morogoro nikaenda pale ofisi yao kuu ya mkoa (morogoro cluster ofisi) nikakuta ofisi wachaga 90%!!! Kesho yake nikaenda kwenye moja ya projects zao inaitwa mlali adp iko ndani ndani kabisa vijijini huko nako project manager mchaga, project accountant mchaga, zagazaga nyingine nao 80% wachaga!! Nikafadhaika sana ikabidi nimuulize swali mmoja ni staff wa hapo mlali adp (sio mchaga) akanijibu kuwa hata yeye aelewi ila hali ni hiyo hiyo karibia tanzania nzima, yeye binafsi kabla ya kuja mlali alikuwa ofisi ya kigoma nako hali ni hiyo hiyo, wachaga wachaga wachaga!!!! Nikachoka..
Hata kwa mkeo ni wao tu,yaani mpo kama mikasi 2mbaf kweli..Ndio maana hata muhimbili hospitali ni wao tu
Hata ule msikiti wa kwa mtoro k/koo viongozi wote wachagga..wachaga ni wabaguzi sana,, tatizo hr wao ni mchaga anaweka wachaga wenzake tu..
ndio maana hawa pewi nchi mwisho ni uwazili mkuu mlema chamoto alikiona
Kweli wewe darasa7 nenda tu ukachimbe mabomba ya gesi Mtwara..ndio maana hawa pewi nchi mwisho ni uwazili mkuu mlema chamoto alikiona
world vision ni shirika la kibaguzi sana.. kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia,, yani kama wewe sio mchaga na mkristo hupati kazi hapo