WORLD VISION ni shirika la wachaga??

WORLD VISION ni shirika la wachaga??

Status
Not open for further replies.
kwa nini world vision kwenye interview wanauliza maswali ya kwenye vifungu vya biblia mkuu..?

kwa vile ni shirika la kikristu ulitaka waulizeaswali juu ya mtume? mbona huulizi yale ya kiislam kuongozwa na waislamu???
 
kwa vile ni shirika la kikristu ulitaka waulizeaswali juu ya mtume? mbona huulizi yale ya kiislam kuongozwa na waislamu???

hili ni shirika la kinyonyaji, si wafungue makanisa basi tujue ni taasisi ya kidini.. bora lifukuzwe tanzania
 
kwa hiyo kuuliza vifungu vya biblia kwenye interview ya uhasibu unaona sawa we kenge

Nenda kwenye shirika la babako ukaulizwe kuhusu balance sheet. Shirika la Kikristo utaulizwa mambo ya wakristo. Tena siku hizi wamelegeza, zamani ilikuwa kabla ya intavyuu unapeleka cheti chako cha ubatizo
 
Nenda kwenye shirika la babako ukaulizwe kuhusu balance sheet. Shirika la Kikristo utaulizwa mambo ya wakristo. Tena siku hizi wamelegeza, zamani ilikuwa kabla ya intavyuu unapeleka cheti chako cha ubatizo

hili shirika limekuja kutuharibia nchi yetu. lifukuzwe haraka sana
 
mleta mada umejawa na wivu wa kike ndio unaokusumbua,wewe na kabila lako mmekazana na elimu ya madrasa na kusoma koran na uswahili mwingi wa kunywa kahawa na kula mirungi unataka upewe ajira,wachaga ni watu toka kilimanjaro ni sio arusha wapo arusha kutafuta maisha kama wewe ulivyoenda wanapata kazi kutokana na ufanisi wao ni mzuri pamoja na elimu yao mfano katibu wa waziri mkuu ni mchaga anaitwa penieli lyimo je kapata kazi kwasababu ya uchaga au elimu na utendaji wake,na kwa taarifa yako 2015 anafuata mara baada ya mkuu wa majeshi mwamujange ni mchaga.kama tulivyopata mkuu wa polisi said mwema ndivyo itakavyokuwa kila pahala.soma kijana acha ukabila
 
mleta mada umejawa na wivu wa kike ndio unaokusumbua,wewe na kabila lako mmekazana na elimu ya madrasa na kusoma koran na uswahili mwingi wa kunywa kahawa na kula mirungi unataka upewe ajira,wachaga ni watu toka kilimanjaro ni sio arusha wapo arusha kutafuta maisha kama wewe ulivyoenda wanapata kazi kutokana na ufanisi wao ni mzuri pamoja na elimu yao mfano katibu wa waziri mkuu ni mchaga anaitwa penieli lyimo je kapata kazi kwasababu ya uchaga au elimu na utendaji wake,na kwa taarifa yako 2015 anafuata mara baada ya mkuu wa majeshi mwamujange ni mchaga.kama tulivyopata mkuu wa polisi said mwema ndivyo itakavyokuwa kila pahala.soma kijana acha ukabila

kwa nini shirika la world vision linaendekeza udini na ukabila?
 
hi cyo zama yakusema eti wachaga ndyo wamesoma sna kuliko wenzao hapana.ckuhz hata vjjn wapo wasomi.WACHAGA NIWABAGUZ

Usiende shule kaa hapo uende madrasa ukitoka useme umetoka chuo ukienda kutaduta kazi ukutane na wachaga wameshachukua kitengo uanze kulalama
 
Huyu ndio think tank wa ACT

Aliyesoma chuo cha masjid al kuba alivyoenda kuomba kazi World Vision akaambiwa hana qualification sasa ndiyo yuko hapa anadai kabaguliwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom