WORLD VISION ni shirika la wachaga??

WORLD VISION ni shirika la wachaga??

Status
Not open for further replies.
kabla ya kuuliza makabila yao uliuliza utendaji wao na elimu zao kwa nafasi hizo kama zinaendana? au ulianza kuuliza kabila na kuacha welezi ,uwezo na elimu?

asante mkuu,katibu wa waziri mkuu mchaga anaitwa penieli lyimo je ameteuliwa kikabila au ni utendaji wake na elimu yake imemuwezesha aende kilimanjaro aone ni jinsi gani wazazi wa kichaga wanavyokazana kusomesha watoto wao,mfano mimi nina kadigrii kangu kamoja nina mpango wa kuchukua master,yeye anadhani sisi tunakazania madrasa na kiarabu.aache wivu wa kike asome
 
world vision ni shirika la kibaguzi sana.. kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia,, yani kama wewe sio mchaga na mkristo hupati kazi hapo


World Vision ni shirika la dini ya Kikristu ulitaka waulize hadithi za mtume au vifungu vya koran kama African Muslim relief? ebo nyie vp?

Kwani pale Islamic Foundation huwa mnauliza maswali gani? Shwain:A S 13:
 
MUNGI world vision n wachaga hadi wafagizi.acha kabisa hawamajama n wabaguzi sna tna sna.NI WABAGUZI NASHIRIKA LAO HILI
 
world vision ni shirika la kibaguzi sana.. kwenye interview unaulizwa vifungu vya biblia,, yani kama wewe sio mchaga na mkristo hupati kazi hapo

Wewe ama ni b.we.ge wa kuzaliwa au ni bwe.ge wa kuchagua! Yaani unashangaa shirika la Kikristo ambalo purpose yake ni community services based on Christianity faith kuajiri wakristo?
 
MUNGI world vision n wachaga hadi wafagizi.acha kabisa hawamajama n wabaguzi sna tna sna.NI WABAGUZI NASHIRIKA LAO HILI

Usiwe mjinga wewe. Tengeneza na wewe shirika lako uajiri WAHA wenzio. Shwain we!
 
kwa nini world vision kwenye interview wanauliza maswali ya kwenye vifungu vya biblia mkuu..?
worldvision.brandmaster.png

World Vision Tanzania is a Christian relief, development and advocacy nongovernmental organisation (NGO) which started in 1981 as part of World Vision International Kenya. This followed a pastors’ conference in Dodoma involving 550 church leaders that was held in 1970, and other subsequent opportunities leading to the start of World Vision Tanzania.
In 1983, child sponsorship programmes were launched, benefiting 7,124 children. In the same year, non-sponsorship development projects and one evangelism project were initiated.
World Vision Tanzania has operations in 13 out of 30 regions in the country, clustered in five zones. Every zone has between 12 and 16 Area Development Programmes (ADPs), managed by programme coordinators.
Operating in 62 ADPs and with 6 grants and 53 private non-sponsorship projects, the office impacts the lives of more than 3.3 million Tanzanians, including 1.2 million children.






Kama huelewi mlaumu babayako
 
Nashangaa hata JK anawateua wachaga kuwa wakurugenzi wa mashirika ya umma. JK ana ukabila sana
 
hili shirika bora lifutwe tu. halina faida kwa watanzania
 
yani unaomba kazi ya uhasibu. unaulizwa habari za yohana mbatizaji...! sasa biblia na mahesabu wapi na wapi? naomba serikali ilifukuzie mbali hili shirika la kibaguzi

Ulitaka uulizwe Mwamedi alivyokufa aliliwa na Mbwa au Nguruwe?
 
Rafik angu aliitwa kwenye akawakuta wonaotoa inteview wote n wachaga. ali temwa wakawachukua wachaga wenzao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom