WORLD VISION ni shirika la wachaga??

WORLD VISION ni shirika la wachaga??

Status
Not open for further replies.
kiborloni nimeishi nakujua vizuri hunidanganyi sehemu hata moja kuanzia kdc,rau,majengo, shanty town ,mawenzi, mwereni primary pasua kwa wahuni, njoro, hunidanganyi kitu kuhusu moshi mkuu,
Ulikuwa unapeleka mafenesi,wewe uliishi kama mpitaji huna unachojua kuhusu Moshi,uko msaranga sasa ni shant ndogo,ukitaka kuamini wauza gongo moshi ni waswahili nenda kwa mtei na njoro wamejazana wanauziana magongo kwenye vijumba vyao vimechoka,nyie ni laana hata mkisahaulika U.S.A mtakesha vijiweni na kwenye macamp..
 
....

....World Vision idumu milele !!!

hii kitu nilianza kushika misimbazi yake nikiwa shule ya msingi....huko Kahama..Shy bush niliishi kama mfalme...

 
Ulikuwa unapeleka mafenesi,wewe uliishi kama mpitaji huna unachojua kuhusu Moshi,uko msaranga sasa ni shant ndogo,ukitaka kuamini wauza gongo moshi ni waswahili nenda kwa mtei na njoro wamejazana wanauziana magongo kwenye vijumba vyao vimechoka,nyie ni laana hata mkisahaulika U.S.A mtakesha vijiweni na kwenye macamp..

we ndio taahira kweli moshi hakuna kitu chochote mkuu mji umejaa washona viatu tu ,,, na wauza mitumba kiborloni na memorial stadium.. wachagga ni ujambazi na mauaji umewatoa,, la sivyo ni masikini wa kutupwa,,
 
....

....World Vision idumu milele !!!

hii kitu nilianza kushika misimbazi yake nikiwa shule ya msingi....huko Kahama..Shy bush niliishi kama mfalme...


hili shirika tunalifuta tanzania
 
Mtoa Mada amepitwa na wakati: Kuanzia miaka ya 2007, Mkurugenzi wa Operation WVT (MHAYA) aitwae KAMARA (Engineer) aliingiza WAHAYA kibao:................ Mkitaka majina yao nitawapatieni, lakini kwa ufupi, huyu jamaa ni MBAGUZI na MKABILA KWELIKWELI, aliaanza kampeni ya safisha safisha pale makao makuu, lakini kwa sababu kigezo cha "kabila hakina nguvu kama cheti cha mtu na uwezo wake", akajikuta yanamshinda! Huyu jamaa nenda hata kesho, ulizia KAMARA yupo, utamkuta, ndicho kisiki cha KIHAYA kinachofanya shirika la WVT kama mali binafsi. Maajabu, huyu jamaa hata BIBLIA haiamini wala kuifuata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ni comedian tu: kwenye kundi la mamba na kenge wamo!
 
Nimeishi sana arusha na huku ndiko makao makuu yao na wana Projects nyingi sana wenyewe wanaziita ADP's cha ajabu kila ADP ofisini wote ni wachaga!

Nirudi kwenye mada, kuna watu hapa wanadai kuwa shirika limejaa wachaga kwasababu wao ati wamesoma sana, huo ni UONGO wa hali ya juu..

World Vision is a microcosm of CHADEMA. Period!!
While majority of Tanzanians may be tired and hate CCM, but at the same time they are extremely skeptical of CHADEMA due to Chagga tribal lines and Chagga favoritism.
 
Mtoa Mada amepitwa na wakati: Kuanzia miaka ya 2007, Mkurugenzi wa Operation WVT (MHAYA) aitwae KAMARA (Engineer) aliingiza WAHAYA kibao:...

Mbona unabwatuka tu hovyo hovyo!!! Kwani wapi nimesema mkurugenzi wa operation sio mhaya??? Unataka nikuongezee kigogo mwingine wa WVT ambaye sie mchaga??? Haya basi huyu mwingine: Sylvester Masanja (Zonal Manager Eastern Zone) (MSUKUMA)
Umefurahi????
Soma kitu mtu alichoandika kabla ujaanza kubwatuka hovyo hovyo..
 
Naombeni mkasome n kudisscuss wachagga naona mnazidi kutupa promo...
Standard 7 yenu ni Taarabu Baikoko na Vigodoro, tukupe kazi utuletee mipasho ofisin??...
Tupa kule
Sisi tumetumwa hela Mangi wewe shangaa tu Bwashe...
#TeamWachagga
 
Naombeni mkasome n kudisscuss wachagga naona mnazidi kutupa promo...
Standard 7 yenu ni Taarabu Baikoko na Vigodoro, tukupe kazi utuletee mipasho ofisin??...
Tupa kule
Sisi tumetumwa hela Mangi wewe shangaa tu Bwashe...
#TeamWachagga

Mkipewa nchi si ndio mtatutemea mate usoni kwa mtaji huu? Chadema mtasikia kwenye redio ikulu
 
K kubwa we! Kwa nini hauulizi Zanzibar nafasi zote za wizara ni waislam? Badili jina lako ujiite Mushi Kimaro kama issue ni ukabila ukaombe kazi. Njoo Nyarugusu tukufunze kuchimba dhahabu sio kuhubiri chuki we mtoto wa mama.
 
Yale masomo magumu ya kuwafanya wawe na sifa za kuwa madaktari au wafamasia si ndiyo hao vipanga wa kichaga wanaweza? Wachaga ni mitambo mingine!!! Chezea physics, chemistry, biology abd mathematics!!

Yawezekana vigezo vya kuwa mtambo vinamushker mbona kauchumi ka tz goigoi ndugu-Maana hao mitambo, vipanga wamejaa kila sekta
 
K kubwa we! Kwa nini hauulizi Zanzibar nafasi zote za wizara ni waislam? Badili jina lako ujiite Mushi Kimaro kama issue ni ukabila ukaombe kazi. Njoo Nyarugusu tukufunze kuchimba dhahabu sio kuhubiri chuki we mtoto wa mama.

Nashukuru sana mkuu kwa matusi yako! Ubarikiwe..
 
K kubwa we! Kwa nini hauulizi Zanzibar nafasi zote za wizara ni waislam? Badili jina lako ujiite Mushi Kimaro kama issue ni ukabila ukaombe kazi. Njoo Nyarugusu tukufunze kuchimba dhahabu sio kuhubiri chuki we mtoto wa mama.

Bahati mbaya sijui kutukana na hata ningejua sidhani kama hapa ni mahala pake! Anyways, thanks kwa mitusi
 
Acha umbeya hata director wa WVT si mchagga mbona husemi wazungu? Msaidizi wake ni mhaya na wengineo ni mchanganyiko. Isitoshe kila sehemu ya kazi watu huingia kwa merits and mojawapo ni kuwa informed and to take the chance. If you will not be ready to take chances then utabaki kujisemea watengeneza ndege wote why ni wazungu? Think big hapa jamvini sio mahala pa kujadili umbeya na unafiki uzandiki. Jadili sense. Hata kama ni wachagga inakupa tabu gani? Chukua kabila lako pia wakaombe kazi hapo. Usitupotezee muda hapa jamvini kwa mada zako mbofu mbofu

Kama umeona anakupotezea muda si unaacha kuijibu post yake? Jf ni uwanja wa kila member acheni hizo jamani
 
Yawezekana vigezo vya kuwa mtambo vinamushker mbona kauchumi ka tz goigoi ndugu-Maana hao mitambo, vipanga wamejaa kila sekta

Mkuu Tanzania inasifika sana kwa kuandaa ma-technical issues ila si watekelezaji!!!! Wakuu wenye mamlaka ya kuamuru utekelezaji wakipelekewa mezani hawasomi, vimejaa katika shelf!!! Wenzetu wakenya na waganda wakibamba vya TZ wana copy and paste halafu wanatekeleza!!!!! Vipanga wenyewe wanakatishwa tamaa!!!! Wanaamua sasa kusoma magazeti na kufungua biashara za mabaa na nyama choma, the least!!!! Ha hahaha!!!! This is Tanzania!!!! Labda ikija Tanganyika tutajitambua!!!
 
mleta mada "UPDATE" yako haina chembe ya shaka kuwa mfumo wa uajiri ktk shirika hilo,umegubikwa na upendeleo wakikabila.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom