ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,370
- 3,006
Kumbe wenu nilifikiri wa kwako,k'njaro hakuna wavivu,wapiga domo kama wewe,we endelea kukaa mwanelumango..sio bahari tu, mpaka mlima kilimanjaro ni wa kwetu ha ha ha
Kumbe wenu nilifikiri wa kwako,k'njaro hakuna wavivu,wapiga domo kama wewe,we endelea kukaa mwanelumango..sio bahari tu, mpaka mlima kilimanjaro ni wa kwetu ha ha ha
Si maendeleo tu, hata kwa usafi wanaongoza na tuzo walipata!!! Toa definition ya development au maendeleo!!! Tena basing on human development definition. Moshi wako juu. Kasome indicators of human development just google then uongee!!!! Wachaga juu zaidi.
Kumbe wenu nilifikiri wa kwako,k'njaro hakuna wavivu,wapiga domo kama wewe,we endelea kukaa mwanelumango..
pasua ,kiborloni, majengo, njoro kuna maendeleo gani zaidi ya wanywa gongo na banana tu
Woyeeeeeeeee piga chini vilaza wote,wacha mapovu yawatoke...Bahati nzuri nina busara situmii maneno ya kihuni katika post zangu kamwe. Endelea kutoa povu na kuita watu majina ya vijiwe vya bangi na gongo. Msomi na mwenye busara ni lazima uwe na lugha ya busara. Hapa ni kweli tupu penda usipende. Chagaaaaaaaz hoyeeeeee, juuuu zaidi. Mnaogopwa kufa. Njooni huku muone mapovu ya gongo yanavyotoka kwa kasi. Tishio ati uncle.
crdb wafanyakazi wote ni wachaga.. hongera sana kikwete kwa kuwapunguza wachagga tra,, waondoe wote mpaka mkubwa wao kitillya
Si maendeleo tu, hata kwa usafi wanaongoza na tuzo walipata!!! Toa definition ya development au maendeleo!!! Tena basing on human development definition. Moshi wako juu. Kasome indicators of human development just google then uongee!!!! Wachaga juu zaidi.
Uko ulikokutaja unaweza fananisha na Mwanelumango teh teh tehpasua ,kiborloni, majengo, njoro kuna maendeleo gani zaidi ya wanywa gongo na banana tu
Kitilya mnafiki,alitaka kuendelea kuextend mkataba,alikua kaongea na marehem mgimwa wamuextendie mkataba,bahati mbaya mgimwa akaugua dili la kitilya likagonga mwamba,aliporudi ofcn akakuta afisa utumishi kafunga mlango,ameondoka kwa aibu sana pale.
Ndio maana hata muhimbili hospitali ni wao tu
Uko ulikokutaja unaweza fananisha na Mwanelumango teh teh teh
world vision wanataka wachagga na wakristo tu...
Kitilya mnafiki,alitaka kuendelea kuextend mkataba,alikua kaongea na marehem mgimwa wamuextendie mkataba,bahati mbaya mgimwa akaugua dili la kitilya likagonga mwamba,aliporudi ofcn akakuta afisa utumishi kafunga mlango,ameondoka kwa aibu sana pale.
maendeleo ni pamoja na kuwa na viwanda vya kutosha vinavyotoa ajira kwa wakazi wa eneo husika. hebu nitajie viwanda vilivyoko moshi mkuu
Kumbe!!!! Kwa hili siungi mkono. At 60 ondoka wengine wachukue. Ila nimegundua wazee wengi hata wakuwa na uwezo kifedha wanaogopa kustaafu. Harry Kitilya wana a family firm siku nyingi sana kabla hata ya kuwa na cheo serikalini sasa anahofu nini kustaagu? Kazi ipo.
We zombi mkweli nenda ukapaone umekremisha eeh,uku mwanelumango kuna basi moja tu la kata ukilikosa huendi mjini mpaka kesho yake,ruti yake mpaka buguruni sheli linabeba wazaramo wote waje kushangaa wageni toka mikoani wanavyoporomosha majengo,biashara na kila aina ya maendeleo..huwezi fananisha kwa idadi ya wanywa gongo ha ha ha kiborloni kuna sehemu inaitwa msaranga,, huko ndio mitambo ya gongo inapatikana ha ha ha
We zombi mkweli nenda ukapaone umekremisha eeh,uku mwanelumango kuna basi moja tu la kata ukilikosa huendi mjini mpaka kesho yake,ruti yake mpaka buguruni sheli linabeba wazaramo wote waje kushangaa wageni toka mikoani wanavyoporomosha majengo,biashara na kila aina ya maendeleo..