Ntakuelewesha goli la Arg likiingia.
kumbe tuko timu moja! safi sana tumefika wawili maana leo wengi wako switz
Ntakuelewesha goli la Arg likiingia.
Una 2,000,000 cash?? Ninayo yangu hapa
Hawa Argentina wanatolewa kwa matuta,halafu Mesi atakosa penati
yaani hapa waswaz taratibu wanatafuta matuta na wako precise kwenye matuta kama saa zao!!!!!
kumbe tuko timu moja! safi sana tumefika wawili maana leo wengi wako switz
yaani hapa waswaz taratibu wanatafuta matuta na wako precise kwenye matuta kama saa zao!!!!!
Niko Argentina pia....
hhahahaha utaona Babu,ila usijali mpira unadunda!Tema mate chini binti.... Utaniliza babu yako.
hhahahaha utaona Babu,ila usijali mpira unadunda!
If you want to support a strong African team support FRANCE ...truly pan-African
Yeyote sasa anaweza pita game hii!
"Switzerland have been tactically efficient today"
hahaha