World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

wa mexico walifanya jambo la maana sana walivyomfukuza Eriksson jamaa alikuwa ana wapotezea nafasi ya ku-qualify hivi hivi.
 
Chile kuifunga Brasil will never happen. Jiandaeni kulia na kusaga meno tu hiyo Julai 11

hahaha! but i always support Brasil, nilikuwa napitia swali la Chile na Japan! Final itakuwa kati ya Brasil dhidi ya Argie na mshindi wa tatu ni Ghana Vs Spain/Paraguay huu ni mwaka mbaya kwa timu za Ulaya.
 
Tupinge dola 100

heheh mkuu ningekuwa na dola 100 ya kupinga ,ningekuwa sauzi namuangalia messi live mida hii ,lakini msimamo wangu ni pale pale kesho BRAZIL anasambaratishwa. Hakikisha unakuwepo JF mida ya gemu.
 
heheh mkuu ningekuwa na dola 100 ya kupinga ,ningekuwa sauzi namuangalia messi live mida hii ,lakini msimamo wangu ni pale pale kesho BRAZIL anasambaratishwa. Hakikisha unakuwepo JF mida ya gemu.

Hapana mimi nataka nikulie hela yako....amua mwenyewe basi tupinge kwa shilingi ngapi.....
 
England walikuwa wanafanya mazoezi ya kupiga penati haikusaidia jamani?
 
Give it to the Argentinians - it is all physical fitness and aggresiveness. Closer to the American football than World soccer - just my opinion though.
 
England walikuwa wanafanya mazoezi ya kupiga penati haikusaidia jamani?

labda mazoezi yao ya penalty yatawasaidia kwenye EURO 2012 au kule Brazil 2014
 

que supimos conseguir ! Coronados de gloria vivamos......viva Argentina.......:horn::horn::horn::horn:
 
Back
Top Bottom