Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Matokeo yaweza kuwa 5-0 leo maana Mexico washachanganyikiwa tayari
Jamaa wamefunga virago rasmi, 😛lane: MEXICOSiyo siri nimemkubali..Goli safi sana!!Bravo Tevez!!
Matokeo yaweza kuwa 5-0 leo maana Mexico washachanganyikiwa tayari
Mwaka huu kombe linaenda Amerika kusini......hivi fainali kati ya Argentina na Brasil wangu itakuwaje? Hii itakuwa fainali ya fainali zote na wana Brasil lazima tuibuke kidedea
Hawa Mxico wakitulia wanaeza sawazisha aisee
hehehe hawa underdog hawa wanakatisha tamaa aisee , acha tuwaache mkono bana.eeeh yamekuwa haya? vp underdogs??
Mwaka huu kombe linaenda Amerika kusini......hivi fainali kati ya Argentina na Brasil wangu itakuwaje? Hii itakuwa fainali ya fainali zote na wana Brasil lazima tuibuke kidedea
Mi naona kama Brazil watakutana na Argentina fainali hii basi Argentina watatwaa ubingwa!!..na kati ya mabingwa ninaowawazia ni Argentina,Brazil au Germany!!..
Mi naona kama Brazil watakutana na Argentina fainali hii basi Argentina watatwaa ubingwa!!..na kati ya mabingwa ninaowawazia ni Argentina,Brazil au Germany!!..
It is not wise to bet against my Brasil.....
mkuu vipi tena amigos wako imekuwaje? ARGENTINA VS GERMANY hii game ni balaa .Mwaka huu kombe linaenda Amerika kusini......hivi fainali kati ya Argentina na Brasil wangu itakuwaje? Hii itakuwa fainali ya fainali zote na wana Brasil lazima tuibuke kidedea
Mi naona kama Brazil watakutana na Argentina fainali hii basi Argentina watatwaa ubingwa!!..na kati ya mabingwa ninaowawazia ni Argentina,Brazil au Germany!!..
Mi naona kama Brazil watakutana na Argentina fainali hii basi Argentina watatwaa ubingwa!!..na kati ya mabingwa ninaowawazia ni Argentina,Brazil au Germany!!..