klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hakuna kitu hapo.......mende hawezi angusha kabati bana.....hata siku moja
"wazee wa pasta" walisema hivyo hivyo leo mchana na sasa wako pembeni wanauguza majeraha ya " all whites" heheheh
hakuna kitu hapo.......mende hawezi angusha kabati bana.....hata siku moja
Tuko wote hapoo.Hawa Brazil hawatishi wala nini,tunaweza kuwaburuza vilevile.Naweka pesa yangu kwa litimu la afrika kwa mara ya mwisho leo..
Pamoja na gagula wetu wa kutundika koti hewani bado hakuna kitu?.hakuna kitu hapo.......mende hawezi angusha kabati bana.....hata siku moja
Robot, the hope is lost and gone!..Go Brazil go go!!!
he he he , rekebisha vuvuzela kabisa , leo ni siku ya waAFRICA. com on! IVORY wana wa COAST
"wazee wa pasta" walisema hivyo hivyo leo mchana na sasa wako pembeni wanauguza majeraha ya " all whites" heheheh
Pamoja na gagula wetu wa kutundika koti hewani bado hakuna kitu?.
Niko na wewe as always used to be ...go go go wazee wa samba football!
Hata jana ilikuwa siku ya waafrika,wewe inaelekea unapenda presha..Nina vuvuzela la njano/kijani leo special for Brazil!..
unajua wale leo walikuwa wamekula tagliantelle badala ya macaroni ndio maana...ni era katika menu ndio ilisababisha
we tafuta kufa kwa presha bure....shauri yako
unajua wale leo walikuwa wamekula tagliantelle badala ya macaroni ndio maana...ni era katika menu ndio ilisababisha
You are always nice,hebu tuwape moyo Brazil!..Nitacheza lambada wakishinda acha tu!!!
Angalia kwanza clip hii ya sheikh Yahya halafu tutabiri pamoja.
Kesho ni Tarehe 20/06/2010
Mechi kati ya Ivory Coast na Brazil
tukichukua herufi za mwanzo za kila timu tunapata idadi hii
Ivory Coast = 9
Brazil = 2
Kwa kuwa 2 inagawanyika kwa mbili na tisa haigawanyiki basi tuchukue herufi hizi za mwanzo ambazo zinakidhi masharti ya Sheikh Yahya na kuongeza tarehe ya mchezo
Kwa Brazil = 2+20 = 22 inagawanyika kwa mbili
Ivory Coast = 9+20 =29 haigawanyiki kwa mbili
Namba inayogawanyika kwa mbili timu yake itashinda. Nawakilisha hoja!
kwikwikwikwi!!!1
hakikisheni mnabaki mpaka mwisho wa mechi! nitawaPM kuwaelekeza tutasherehekea wapi ushindi wa WANA WA TEMBO.
go costa de marfil!
go costa de marfil!