RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,817
- 129,688
bora italy wamesawazisha sasa...............hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aaah mkuu unashabikia italy......sina wasiwasi watafungwa......im with the underdogs...lol
bora italy wamesawazisha sasa...............hahaaaaaaaaaaaaaaaaaa
aaah mkuu unashabikia italy......sina wasiwasi watafungwa......im with the underdogs...lol
hapana mkuu sishabikii italy wala nini buta nataka tu ushindani mbele ya safari...fikiria nz wanabahatisha kwenda hatua ya pili na wanakutana na timu kama brazil ama holland si itakuwa mteremko kwa hao wapinzani wao...........
Bado kama dakika kumi hivi na wana-spageti wakifanya mchezo hii ngoma nd'o draw basi!Kipindi cha pili kimeanza. Tusubiri kuona mpira wa upande mmoja maana Italy wameongeza nguvu.
hehehehehehehehe matokeo yanarizisha.
Cha kushangaza ni kua mashabiki wa New Zealand wanashangalia kweli na wa-Italiano wamenuna....Whats up with that?
Kitumbua karibu kiingie mchanga eti...kwi kwi kwi!!!