Hadi wewe leo upo, kweli Ivory Coast inafungwa vibaya sanaa!..
Dah....kumbe na wewe umemshtukia eehh............aaah leo ni kilio tu kwa Ivorians......lol
Hadi wewe leo upo, kweli Ivory Coast inafungwa vibaya sanaa!..
Haya naona mtanange ndio hivyo umeanza.......wangapi hapa wanaishabikia Selecao?
kha shemeji... yaani umeamua kuua kabisa??? sawa banahhakuna kitu hapo.......mende hawezi angusha kabati bana.....hata siku moja
Dah....kumbe na wewe umemshtukia eehh............aaah leo ni kilio tu kwa Ivorians......lol