hahaha Huenda wakati huo ndo tukawa natimu nzuri.Kwasasa bongo hata 50yrs mbele hakuna dalili...Ni bora kuliko kuleta wawakilishi wanaotupa presha tupu
Africans, we can never win anything united on consistance basis. We are very good and strong perfomers on individual scales. angalia riadha tunavyokimbiza hewa.
On the other hand Maicon na Donovan wametufundisha ufungaji mwingine rahisi wa kutumia pembe ya uwanja!
Ndiyo maana tulitawaliwa na bado tunatawaaliwa. Kule yule jamaa wa Eugenics wanadai waafrika evolution haikukamilika (sorry I'm not supporting them though...)
Kweli nilipenda sana lile Goli la Maicon ni moja kati ya mabao mazuri ya WC huenda kesho tukaona mengine mazuri kutoka kwa watoto wa samba.Ila Africa sijui kwann hatujifunzi!!
ndiyo maana tulitawaliwa na bado tunatawaaliwa. Kule yule jamaa wa eugenics wanadai waafrika evolution haikukamilika (sorry i'm not supporting them though...)
Rev jabulani ndio linasababisha hayo magoli ya imposibo engo, profesa aliyelidizaini analitetea ila linatesa sana makipa na makocha pamoja na wachezaji wamelikandia sana!
Rev jabulani ndio linasababisha hayo magoli ya imposibo engo, profesa aliyelidizaini analitetea ila linatesa sana makipa na makocha pamoja na wachezaji wamelikandia sana!
Unamanisha wanga au uchawi au ile kitu tamuuuuuu???? hahahaha, kazi kwelikweli. Nafikiri hata hiyo hatutaweza manake wenzutu wao wakiwa mashindanoni wanakua serious, sisi hatupo serious na mambo yetu, si makini kabisaaaaaaaaaaaaa
Angalia kwanza clip hii ya sheikh Yahya halafu tutabiri pamoja.
Kesho ni Tarehe 20/06/2010
Mechi kati ya Ivory Coast na Brazil
tukichukua herufi za mwanzo za kila timu tunapata idadi hii
Ivory Coast = 9
Brazil = 2
Kwa kuwa 2 inagawanyika kwa mbili na tisa haigawanyiki basi tuchukue herufi hizi za mwanzo ambazo zinakidhi masharti ya Sheikh Yahya na kuongeza tarehe ya mchezo
Kwa Brazil = 2+20 = 22 inagawanyika kwa mbili
Ivory Coast = 9+20 =29 haigawanyiki kwa mbili
Namba inayogawanyika kwa mbili timu yake itashinda. Nawakilisha hoja!
kwikwikwikwi!!!1
Mhhh!! Sheikh Yahya, hapo sina la kusema. Kuhusu Brazil/Ivory Coast, I wouldn't be suprised If Ivory Coast lose. African teams are very talented individually but when it comes to team work they fail. They have only themselves to blame.:embarrassed:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.