World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

World Cup 2010 SA: Match updates (From June 11)

2-0......fabiano kashika mara mbili refa kapeta...........
 
yaani N.KOREA walitoa upinzani kwa brazil kuliko IVORIES...........
 
huyo refa si ameona kabisa huo mkono badala ya kutoa red card anapeta tu na huo mkono ndo umesaidia jamaa kuumiliki mpira, mwenye nacho huongezewa
 
kumbe taifa stars kufungwa 5-1 ilikuwa kawaida kabisa na inabidi vijana wetu tuwapongeze
 
huyo refa si ameona kabisa huo mkono badala ya kutoa red card anapeta tu na huo mkono ndo umesaidia jamaa kuumiliki mpira, mwenye nacho huongezewa

halafu akacheka naye kuwa ameuona mkono..........yaani basi tu................inaudhi sana hawa marefa
 
Brazilians u know Masa is supporting you! Naomba mfunge 4 kwa moja .,....am African I dont wanna be embarrassed ...God bless us and you
 
Tatizo Brazil hawatawezauifunga Portugal goli nyingi hivi, pia the Elephants hawataweza kuishushia Korea Kaskazini kikapu cha magoli. Kwa hiyo the Elephants wanaweza kukosa kusonga mbele licha ya kushinda mechi ya mwisho kama Portugal ataifunga Korea kesho.
 
aliyeharibu hili gemu ni yule aliyeleta mahusiano ya thread na ushirikina wa yahya
aaaaaaaaaaaaaaaaaa! kwa heri!!
 
mko wapi wana TEMBO...mmefulia eeh......mmenywea...ha ha ha...hatimae TEMBO awa mbuzi
 
Back
Top Bottom