Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 333
Defoe anakwenda nje anaingia Peter Clouch
Rooney hayupo nini jamani???
Halafu cha kushangaza England amepanda chati kutoka namba 9 kwenda namba 8 na Argentina kuchukua namba 9. Hawa mafarao wameondolewa namba 10 mpaka namba 17.Je hawa FIFA hutumia vigezo gani, nilidhani uingereza kuwa namba 17 na Mafarao kuwa namba 8.
Si mchezo tembo wa Ivory wamelala 2 kwa South Korea
Rooney hayupo nini jamani???
Mimi nasena ifike wakati Afrika tusikubali na tukutae tuseme tumechoka kuwa kichwa cha mwendawazimu na tuandamane anaetaka sawa na asiyetaka simlazimishi lakini ingewezekana timu moja tuishushe nafasi apewe Egypt na mimi nitaendelea kumlaani Algeria na sasa hivi kashapigwa tatu bila majibu.Capello atakuwa kapello na sasa hivi atalia kama wenger maana jogoo limeanza kuwika Wembley,yule pale yule pale Zidan unamuona .maneno haya hata mzeewa kung"wenya anajua kule Masaki,hodi karibuuuu
jamani naona mafarao kama vile wanataka kukubali hapa!