AFCON: Tanzania kumenyana na Morocco, DR Congo na Zambia kundi F

falcon Q

JF-Expert Member
Feb 28, 2023
786
2,117
Wanamichezo kama mnavyofahamu leo ndo inafanzika droo ya upangaji wa makundi ya michuano ya AFCON karibuni tupeane update ya zoezi hilo.

---
Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imepangwa Kundi F katika Michuano ya Kombe la Afrika (AFCON) 2023 itakayofanyika Januari 13 hadi Februari 11, 2024 Nchini Ivory Coast na kushirikisha timu 24

Makundi yapo kama ifuatavyo

GROUP A
Ivory cost
Nigeria
Gunea equatorial
Guinea bisau

GROUP B
Egypt
Ghana
Cape verde
Mozambique

GROUP C
Senegal
Cameroon
Guniea
Gambia

GROUP D
Algeria
Bukinafaso
Mauritania
Angola

GROUP E
Tunisia
Mali
South africa
Namibia

GROUP F
Morocco
DRC
Zambia
Tanzania
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom