wameanza kukubali eeeehh!!!!
Uzembe wa kipa hapa England 2
Becks anaongeza CV na kusafisha nyotaa yake..si umeona gakona hawa waarabu bwana wameanza vizuri kwa kukaza makalio sasa sijui half time walikwenda kukalia powder gani huko wamerudi legee
Wakati mwingine kweli ulaya ni ulaya yaani huyu capello angeitwa na malikia maana tena wembley aaah wacha ninywe chai na tea masala maana nilitaka wapewe discipline hawa England na mabingwa mara 3 wa Afrika au ndio ile kauli uchawi hauvuki maji,haya
Wakati mwingine kweli ulaya ni ulaya yaani huyu capello angeitwa na malikia maana tena wembley aaah wacha ninywe chai na tea masala maana nilitaka wapewe discipline hawa England na mabingwa mara 3 wa Afrika au ndio ile kauli uchawi hauvuki maji,haya
Nilikwambia mwana ebu tuone leo kama Uchawi wa mapharao unavuka bahari?? dah wamekuwa mdebwedo kabisaaa..wee pata tea masala ndo muda wenyewe huu..ila Kijana wetu mbona hajazii hata Goli moja?? unajua Rooney ndo tegemeo la England kwenye WC
Waarabu wana wasi wasi wako ardhi ya malkia hawa. Halafu Egypt wengi huwa hawajihesahabu kama ni Waafrika ujue
unajua swala la wsiwasi halipo wale jamaa wote iwe Algeria na wenzao morocco wao wanajiona kama wazungu na ukipata bahati kumuona mtoto wa kike kutoka nchi hizi utasema mzungu na hata maisha wazungu wanatoka kwao wanakwenda kula maisha cairo