Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,609
Tatizo ni kwamba watu hua tunakurupuka mno.Umenijua leo wiki ijayo unanitongoza...hujui nikoje kiundani...hujui kama nna mtu japo nimekwambia sina...hujui nafanya nini labda ni mjasirilimali wa asili (dada poa)...hujui nani anaeniweka mjini ila tayari uko tayari kunivua nguo.
Kua rafiki yangu...piga story na mimi...nichunguze kwa maswali bila kuashiria unataka zaidi ya urafiki...nisome kwa maongezi yangu...baada ya muda omba hata kunitembelea alafu sasa ndo ufikirie kunitongoza.Sio mambo ya wanijua leo...wanitaka leo!!!
Mgumu sana wewe