Women!!!

Mkirua! Do the affections you have towards a woman/man whom you are in relationship remain constant since you first met?

Absolutely!! Yaani ukiona hadi mkae sana ujiulize ulize sana basi jua ni kama kisa kimoja cha rafiki yangu aliyeniuliza kuwa kuna bar moja hapa mjini anahisi ma bar maids wake ni wachawi kwasababu akishakunywa bia zao huwaona wazuri sana na kuanza kuwatamani tofauti na aingiapo. Kumbe kinywaji ndo kinamkata mishipa ya noma na kuamsha tamaa inayomuonesha kila mmoja ni Bomba hata anayelingana na mama yeke.
 
Mkuu aliponiambia siku hiyo kuwa yuko kwemye ndoa nilitoa macho kama fundi saa. Coz nilikua naona kila mwanaume anayeingia lile eneo ndio mhusika.

Mkuu hata kama ukiambiwa yuko single changanya na utaalam wako wa kupeleleza ujue kuwa je unaingiza mjini mchana kweupe au ni ukweli
maana unaweza ambiwa niko single kumbe umepangwa kwenye list
 
Jamani hilo swali si ndo la kumuuliza <br />
Siku ya kwanza ...
<br />
<br />
watu sijui ndio kwenda na wakati au vipi, hawapendi kuongelea marital status zao tangu awali wakati ni jambo la msingi kabisa.
Nyie viumbe wenye ndevu, jirekebisheni hapo, unapomuapproach mtu kwa mahusiano ya kimapenzi make sure unauliza hicho kitu, binafsi huwa nashikwa na maswali kama mtu wa namna hiyo hajaniuliza... Ni wanawake wachache wanaoweza kujielezea hayo bila kuulizwa, wengine hadi uwaulize ukikaa kimya nae anakaa kimya ingawa moyoni anaweza akawa anatamani kuulizwa.
 
Absolutely!! Yaani ukiona hadi mkae sana ujiulize ulize sana basi jua ni kama kisa kimoja cha rafiki yangu aliyeniuliza kuwa kuna bar moja hapa mjini anahisi ma bar maids wake ni wachawi kwasababu akishakunywa bia zao huwaona wazuri sana na kuanza kuwatamani tofauti na aingiapo. Kumbe kinywaji ndo kinamkata mishipa ya noma na kuamsha tamaa inayomuonesha kila mmoja ni Bomba hata anayelingana na mama yeke.

Therefore affections change with time!!.
 
Chochote kile kinaweza kikatangulia...

Kwa mwanamke yaweza kuwa sawa lakini si kwa mwanaume. The first appearence tu mwanaume huconclude kwamba huyu ndiye au siye... Assesment nyingine ni za kukamilisha/kujiridhisha kama maamuzi ni sahihi.
 
Mi nadhani hapa ni Jinsi ya kutongoza, siku hizi kizazi cha dot.com watu hawatongozani directly kama wakati wetu ule..! wakati wetu ule jinsi unavyotongoza inajikuta tu mwanamke anakwambia mie nna wangu au nimeolewa...sasa siku hizi tunatoana out tu story kibao yaani sa ingine inatokea tu manangonoka na hakuna hata mmoja wenu aliye mtamkia mwenzake nakupenda and nahitaji tuwe hivi au vile
 
Count me on that List

Hahahaha...unanchekesha kweli.Kwahiyo wewe mtu akikaa na wewe akaongea na wewe ndo kakwambia anakupenda?!Imekula kwako...ungekua rafiki yangu labda ungedhani natangaza ndoa kabisa maana ningekualika mpaka na chakula nyumbani kwangu mara kadhaa...ningetaniana na wewe...ningefurahia company yako ka huboi huku nikukuchukulia kama rafiki tu!!
 
Nimekusoma kabisa. Nilikua sijui kama ni jukumu langu kuuliza. nilikua ninajua ni jukumu la mwanamke kuniambia kabla sijamuuliza
<br />
<br />
ni jukumu lako kama ambavyo unaweza uliza jina, anakoishi, kazi etc.
Kama ni mahusiano ya kirafiki tu haina haja.
 
<br />
<br />
watu sijui ndio kwenda na wakati au vipi, hawapendi kuongelea marital status zao tangu awali wakati ni jambo la msingi kabisa.
Nyie viumbe wenye ndevu, jirekebisheni hapo, unapomuapproach mtu kwa mahusiano ya kimapenzi make sure unauliza hicho kitu, binafsi huwa nashikwa na maswali kama mtu wa namna hiyo hajaniuliza... Ni wanawake wachache wanaoweza kujielezea hayo bila kuulizwa, wengine hadi uwaulize ukikaa kimya nae anakaa kimya ingawa moyoni anaweza akawa anatamani kuulizwa.

Unajua sisi wanaume tunapenda sana Positive answers wakati wa kumtongoza mwanamke.

Enzi zile walikua wanasema nitakufikiria?

siku hizi hilo jibu sijui kama lipo tena.
 
Hahahaha...unanchekesha kweli.Kwahiyo wewe mtu akikaa na wewe akaongea na wewe ndo kakwambia anakupenda?!Imekula kwako...ungekua rafiki yangu labda ungedhani natangaza ndoa kabisa maana ningekualika mpaka na chakula nyumbani kwangu mara kadhaa...ningetaniana na wewe...ningefurahia company yako ka huboi huku nikukuchukulia kama rafiki tu!!

huogopi kubakwa?
 
Unajua sisi wanaume tunapenda sana Positive answers wakati wa kumtongoza mwanamke.

Enzi zile walikua wanasema nitakufikiria?

siku hizi hilo jibu sijui kama lipo tena.

Mkuu any positive answer lazima ujiulize mara mbili mbili siku hizi
Je kwanza upo alone kwenye list
Je ana mtu
Je napangwa
Je ni kweli amesema au ananipa hopes tuu
 
Got you Lizzy!!
Therefore women are weak and men should always take care.
Wewe usiniwekee maneno mdomoni tafadhali.Kama kwa kufanya hivyo kumefanya wanawake wote wawe weak basi wanaume nao ni weak maana wapo wengi tu wanaowaingiza wa dada mjini mpaka mahusiano yakishakolea ndo wanashangaa kujua kaka ana mke na watoto.
 
Hahahaha...unanchekesha kweli.Kwahiyo wewe mtu akikaa na wewe akaongea na wewe ndo kakwambia anakupenda?!Imekula kwako...ungekua rafiki yangu labda ungedhani natangaza ndoa kabisa maana ningekualika mpaka na chakula nyumbani kwangu mara kadhaa...ningetaniana na wewe...ningefurahia company yako ka huboi huku nikukuchukulia kama rafiki tu!!

Lizzy nialike mimi ni mpole sana wala sitakuchokoza....... Halafu kuleeee ulikonipiga maswali kibao nshaweka majibu.....
 
Wewe usiniwekee maneno mdomoni tafadhali.Kama kwa kufanya hivyo kumefanya wanawake wote wawe weak basi wanaume nao ni weak maana wapo wengi tu wanaowaingiza wa dada mjini mpaka mahusiano yakishakolea ndo wanashangaa kujua kaka ana mke na watoto.

Ndo maana tunasema lolote utakaloambiwa changanya na akili zako na chunguza sana kabla ya kukubali kuvuliana nguo
 
&lt;span style=&quot;font-family: comic sans ms&quot;&gt;Lizzy nialike mimi ni mpole sana wala sitakuchokoza....... Halafu kuleeee ulikonipiga maswali kibao nshaweka majibu.....&lt;/span&gt;
Mmmh usije tu ukataka kuhamia maana maandu yangu na nyama aka machalari sio mchezo!!!lolz

Ngoja nikachungulie.
 
Unajua sisi wanaume tunapenda sana Positive answers wakati wa kumtongoza mwanamke.<br />
<br />
Enzi zile walikua wanasema nitakufikiria?<br />
<br />
siku hizi hilo jibu sijui kama lipo tena.
<br />
<br />
hizo +ve answers zinakuwa na effect sasa.
Kwanza siku hizi wadada wanapotongozwa huassume kwamba unajua yupo katika mahusiano (kama yupo) kwahiyo usipouliza imetoka.
Kuna mkaka alikuwa anadate na mdada kwa kipindi flani, hawakuwahi kuzungumzia mahusiano yao kabla. Mkaka akaja kujua mdada ana mtu mwingine akaamua amuulize... jibu alilopewa alichoka mwenyewe.
 
Ndo maana tunasema lolote utakaloambiwa changanya na akili zako na chunguza sana kabla ya kukubali kuvuliana nguo

Tatizo ni kwamba watu hua tunakurupuka mno.Umenijua leo wiki ijayo unanitongoza...hujui nikoje kiundani...hujui kama nna mtu japo nimekwambia sina...hujui nafanya nini labda ni mjasirilimali wa asili (dada poa)...hujui nani anaeniweka mjini ila tayari uko tayari kunivua nguo.

Kua rafiki yangu...piga story na mimi...nichunguze kwa maswali bila kuashiria unataka zaidi ya urafiki...nisome kwa maongezi yangu...baada ya muda omba hata kunitembelea alafu sasa ndo ufikirie kunitongoza.Sio mambo ya wanijua leo...wanitaka leo!!!
 
Back
Top Bottom