Wizaya ya Habari na Michezo watolewa nje ya ofisi!!

Leo hii wizara hii imeshindwa kufanya kazi baada ya NHC kuwatolea vyombo vyao nje!!
wnadaiwa zaidi ya Shs 300ml na shirika hilo.
na ofisi ya Habari maelezo nayo vyombo nje pia.

source:Radio one breaking news at 1125hrs.

Safi sana Nehemia endelea na wembe huo huo mpaka Ikulu kama nayo ni NHC nayo fanya hivyo hivyo
 
Tunashukuru sana kwa mkurunguzi wa NHC zoezi liwe endelevu bila kuangalia ni nani na ana nini na yupo sehemu gani
 
Aisee! Wizara kushindwa kulipa gharama za pango?!! Ngoja tusubiri habari kamili, hii inanikumbusha sakata la wafanyakaz kutopewa kima cha chini 315,000. Huenda kweli serikali haina fedha au kuna wakubwa wanakamua kodi za wavuja jasho hadi tone la mwisho. Kaz ipo.
weeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! hawana pesa, bilion sita za igunga na billions 114 za dowans zinatoka wapi? acha utani kabisa. Dogo mchechu kaziona, we wakamue tu usiwaogope japo ndo wako. aaaaaa mchechuuuu.
 
Pesa imeishia Igunga!
Mchungaji, nyingine ndiyo zile za kufanikisha kupitisha bajeti ya wizara (badala ya kulipa pango), zile za akina Jairo, ziko kila wizara siyo ya Ngeleja peke yake. Na huwa wanajivuna kwamba wao ni serikali kwa hiyo landlord wao (NHC) hatawasumbua.
 
Kazi nzuri NHC kaza buti mnaiokoa nchi dhidi ya mafisadi..ukimaliza hapo nenda na pale Lumumba ''ofisi ndogo''.
 
Safi sana Nehemia endelea na wembe huo huo mpaka Ikulu kama nayo ni NHC nayo fanya hivyo hivyo

ndilo kaburi lake hilo. ataundiwa zengwe atajikuta anarudi benki kuhesabu hundi za wateja
 
Juzi tu waliwatoa Wizara ya Kilimo, Leo Wizara ya Michezo...
Endeleeni NHC mpaka kieleweke! Kila wizara ina budget yake iweje washindwe kulipa kodi? kudagadeki
 
Kazana Kazana MR. MCHECHU wachachue kweli kweli. But, usisahau kuwa ofisini kwako hapo ulipo kunawanaokupunguzia kasi. Ukiwasikia tu, wachachue pia. Ufisadi nchii hii umezidi. Songa mbele usiisahau ile mikataba mibovu ya maisha ya mapatina wenu (JV) kuivunja yote. Inakuwaje kuiuza nchi kwa mafisadi kinyemela hivyo kwa kuikubali mikataba ya Maisha badala ya lease za miaka 33 au 99 tuliyoizoea? Ukimaliza hapo TUNAKUTAKA ugombee urais sisi tupo nyuma yako. USIWAOGOPE.
 
haya sasa,ooooh msechu hawezi,oooh kaingia kwa rushwa,semeni tena

ila kwa bongo naelewa huo ndio mwisho wake wa kazi kwani huwa hatupendi tukiona mtu akifanya kazi kwa manufaa ya Taifa hili,
 
Kama aliyeingia kwa rushwa; naamini ni mkurugenzi mkuu wa NHIF. Kwani sasa anakula mno na Mahospital ya A/Khan. si ajabu NHIF ikafa kama NIC ilivyouawa na Mkurugenzi Temu.
 
Back
Top Bottom