Kuna haja ya kuondoa/kuzuia vipindi vya michezo asubuhi redioni na TV

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,883
2,765
Hili kwa ukweli wizara husika (ya habari) ilizingatie. Saa mbili, saa tatu asubuhi unaanza kusikia habari za nani kafungwa nani kahamia club fulani, kocha kafanyaje, n.k. Muda wa asubuhi ni muda wa kupata taarifa muhimu za matukio yanayoendelea duniani kuanzia siasa, uchumi, utamaduni, sheria, sayansi na teknolojia.

Vyombo vyetu vijikite huko. Si kuanza na michezo ili kuwaosha vijana mbongo zao wawaze tu kuanza kubeti. Hii kwa kiasi kikubwa sana inaondoa ari ya udadisi kwa hayo niliyoweka hapo juu. Nini kifanyike

1. Hao hao wachambuzi wageuze vipindi vyao mwelekeo wa maeneo tajwa hapo juu.
2. Masuala ya michezo yaanze saa saba mchana baada ya taarifa za habari za kitaifa na kimataifa za redioni ta TV
3. Wizara itoe mwongozo wa namna ya kufikia huko.
4. Taasisi mbalimbali zianze kushirikiana na vyombo hivi ili kuwapa mada za kujadili

Mathalani wakati huu tunazungumzia kilimo kikiwalenga vijana. Wizara husika zittoe mwongozo wa namna ya kuandaa vipindi ambayo vitakuwa na mvuto kusikiliza na hata kutazama. kwa namna hii tutajenga kizazi chenye kudadisi na kuwa na mafanikio katika nyaja tofauti. Yafanyiwe kazi
 
Hili kwa ukweli wizara husika (ya habari) ilizingatie. Saa mbili, saa tatu asubuhi unaanza kusikia habari za nani kafungwa nani kahamia club fulani, kocha kafanyaje, n.k. Muda wa asubuhi ni muda wa kupata taarifa muhimu za matukio yanayoendelea duniani kuanzia siasa, uchumi, utamaduni, sheria, sayansi na teknolojia. Vyombo vyetu vijikite huko. Si kuanza na michezo ili kuwaosha vijana mbongo zao wawaze tu kuanza kubeti. Hii kwa kiasi kikubwa sana inaondoa ari ya udadisi kwa hayo niliyoweka hapo juu. Nini kifanyike
1. Hao hao wachambuzi wageuze vipindi vyao mwelekeo wa maeneo tajwa hapo juu.
2. Masuala ya michezo yaanze baada ya taarifa za habari za kitaifa na kimataifa za redioni ta TV
3. Wizara itoe mwongozo wa namna ya kufikia huko.
4. Taasisi mbalimbali zianze kushirikiana na vyombo hivi ili kuwapa mada za kujadili

Mathalani wakati huu tunazungumzia kilimo kikiwalenga vijana. Wizara husika zittoe mwongozo wa namna ya kuandaa vipindi ambayo vitakuwa na mvuto kusikiliza na hata kutazama. kwa namna hii tutajenga kizazi chenye kudadisi na kuwa na mafanikio katika nyaja tofauti. Yafanyiwe kazi
Hiyo nchi yenye vivutio dunia ndio hivyo
 
Hili kwa ukweli wizara husika (ya habari) ilizingatie. Saa mbili, saa tatu asubuhi unaanza kusikia habari za nani kafungwa nani kahamia club fulani, kocha kafanyaje, n.k. Muda wa asubuhi ni muda wa kupata taarifa muhimu za matukio yanayoendelea duniani kuanzia siasa, uchumi, utamaduni, sheria, sayansi na teknolojia. Vyombo vyetu vijikite huko. Si kuanza na michezo ili kuwaosha vijana mbongo zao wawaze tu kuanza kubeti. Hii kwa kiasi kikubwa sana inaondoa ari ya udadisi kwa hayo niliyoweka hapo juu. Nini kifanyike
1. Hao hao wachambuzi wageuze vipindi vyao mwelekeo wa maeneo tajwa hapo juu.
2. Masuala ya michezo yaanze baada ya taarifa za habari za kitaifa na kimataifa za redioni ta TV
3. Wizara itoe mwongozo wa namna ya kufikia huko.
4. Taasisi mbalimbali zianze kushirikiana na vyombo hivi ili kuwapa mada za kujadili

Mathalani wakati huu tunazungumzia kilimo kikiwalenga vijana. Wizara husika zittoe mwongozo wa namna ya kuandaa vipindi ambayo vitakuwa na mvuto kusikiliza na hata kutazama. kwa namna hii tutajenga kizazi chenye kudadisi na kuwa na mafanikio katika nyaja tofauti. Yafanyiwe kazi
Kenge kabisaaa
Yaani radio yangu afu unipangie vipindi wewe?
 
Hili kwa ukweli wizara husika (ya habari) ilizingatie. Saa mbili, saa tatu asubuhi unaanza kusikia habari za nani kafungwa nani kahamia club fulani, kocha kafanyaje, n.k. Muda wa asubuhi ni muda wa kupata taarifa muhimu za matukio yanayoendelea duniani kuanzia siasa, uchumi, utamaduni, sheria, sayansi na teknolojia. Vyombo vyetu vijikite huko. Si kuanza na michezo ili kuwaosha vijana mbongo zao wawaze tu kuanza kubeti. Hii kwa kiasi kikubwa sana inaondoa ari ya udadisi kwa hayo niliyoweka hapo juu. Nini kifanyike
1. Hao hao wachambuzi wageuze vipindi vyao mwelekeo wa maeneo tajwa hapo juu.
2. Masuala ya michezo yaanze baada ya taarifa za habari za kitaifa na kimataifa za redioni ta TV
3. Wizara itoe mwongozo wa namna ya kufikia huko.
4. Taasisi mbalimbali zianze kushirikiana na vyombo hivi ili kuwapa mada za kujadili

Mathalani wakati huu tunazungumzia kilimo kikiwalenga vijana. Wizara husika zittoe mwongozo wa namna ya kuandaa vipindi ambayo vitakuwa na mvuto kusikiliza na hata kutazama. kwa namna hii tutajenga kizazi chenye kudadisi na kuwa na mafanikio katika nyaja tofauti. Yafanyiwe kazi
Asilimia 99 ya mazungumzo ya vyombo vya habari vya Tanzania ni soka

Mchezo wenyewe hatuna asili nao, tunatumia nguvu nyingi kununua wachezaji na kuaminisha vijana ndio suluisho la matatizo Yao hata shule hakuna haja

Vipindi vya elimu kwa umma kama kilimo, mbinu za ujasiriamali havipo zimebaki udaku, soka, TAARABU na singeli zisizo na maadili ndio vipaumbele vya vyombo vya habari.
 
Asilimia 99 ya mazungumzo ya vyombo vya habari vya Tanzania ni soka

Mchezo wenyewe hatuna asili nao, tunatumia nguvu nyingi kununua wachezaji na kuaminisha vijana ndio suluisho la matatizo Yao hata shule hakuna haja

Vipindi vya elimu kwa umma kama kilimo, mbinu za ujasiriamali havipo zimebaki udaku, soka, TAARABU na singeli zisizo na maadili ndio vipaumbele vya vyombo vya habari.
Tupo pamoja sana
 
Back
Top Bottom