Wizara ya utalii sikilizeni ushauri wa huyu mtalii chukueni yale mnayoona yafaa yafanyieni kazi

Wizara ya utalii wao wanaamini kila mtalii akija Tanzania anataka kuona simba, chui, fisi sijui ujinga gani.

Misri haina hao wanyama ila inavutia mamilioni ya watalii kila mwaka, the same to Morocco, 12m tourists a year sasa sisi tumekomalia wanyama, wanyama ,wanyama.

Tuna beaches nzuri sana lakini usafi ni sifuri, vibaka, wizi, tabu tupu.

Watanzania tusipobadilika miaka na miaka watalii watakua ni hao hao 1.2m a year.
 
Jamaa kaongea kweli kuwa ukiona sehemu safi unajua usalama upo tofauti ukiona sehemu chafu unajua hapa si salama.

Sema jamaa inaonekana ni mpenda misosi
 
Huyu mtalii kuna kitu anakilalamikia sekta ya utalii Kenya lakini malalamiko yake na sisi kama wenye utalii yaweza tusaidia



Mtalii anacho kisema ni kweli - utalii wa masuala ya utamaduni yana unuhimu wa pekee - mikoa ambayo ilikuwa na utajiri mkubwa wa utamaduni, mfano: Mkoa wa Kagera na ma Chiefs wao wanane pamoja na Palaces zao na majengo yaziada kuzunguka Palaces, ngoma za zilizo kuwa zinachezwa pale, vyakula, walinzi, utunzaji wa makaburi ya nk.

Watalii wanataka vile vile kuona utajiri mkubwa wa utamaduni wa kiafrika siyo kila siku kutembelea mbuga za wanyama ambazo wanaweza kuziona wakiwa Ulaya na Merikani kupitia kwenye channels za TV documentary.
 
Jamaa kaongea kweli kuwa ukiona sehemu safi unajua usalama upo tofauti ukiona sehemu chafu unajua hapa si salama.

Sema jamaa inaonekana ni mpenda misosi

Ni Mwitaliano ndio maana anazungumzia misosi kwa wingi, Waitaliano ndio wenyewe kwenye uwekezaji wa Mahoteli.
 
Kwani WaAfrica tunasikiaga basi, tunawaza kupandisha kodi / Tax huku tunajishangaa uchumi ukishuka...





Cc: mahondaw
 
Wizara ya utalii wao wanaamini kila mtalii akija Tanzania anataka kuona simba, chui, fisi sijui ujinga gani.

Misri haina hao wanyama ila inavutia mamilioni ya watalii kila mwaka, the same to Morocco, 12m tourists a year sasa sisi tumekomalia wanyama, wanyama ,wanyama.

Tuna beaches nzuri sana lakini usafi ni sifuri, vibaka, wizi, tabu tupu.

Watanzania tusipobadilika miaka na miaka watalii watakua ni hao hao 1.2m a year.
u nailed it
 
Back
Top Bottom