The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 8,551
- 20,346
GT
Kama Taifa ifike mahali tuwe serious na Taifa letu, zamani tulikuwa tunashangaa kwa nini Kenya mpira si kwa sana hao jamaa wameamua kufocus na nchi yao,sasa ni wakati wetu watanzania tuachane na huu upuuzi wa mpira tusimamae kidete na nchi kuhakikisha wanasiasa hawapati upenyo wakutuibia rasimilamli zetu.
Tusimame wote kwa nguvu tuseme hapana hizi propaganda za mpira tuachane nazo milele kuanzia sasa. idadi ya vijana wetu walokufa inatisha ni wengi mno halafu serikali ipo kimya, itakuwa ni ujinga na upuuzi kuendelea na mpira hatuna furaha kabisa hatuwezi kushangilia tuwaachie hilo propaganda. push huu ujumbe umfikie kila mtanazania
NB
Maandamano bila vurugu ndiyo yatatupa matokeo chanya aluta continua tukutane next time
Kama Taifa ifike mahali tuwe serious na Taifa letu, zamani tulikuwa tunashangaa kwa nini Kenya mpira si kwa sana hao jamaa wameamua kufocus na nchi yao,sasa ni wakati wetu watanzania tuachane na huu upuuzi wa mpira tusimamae kidete na nchi kuhakikisha wanasiasa hawapati upenyo wakutuibia rasimilamli zetu.
Tusimame wote kwa nguvu tuseme hapana hizi propaganda za mpira tuachane nazo milele kuanzia sasa. idadi ya vijana wetu walokufa inatisha ni wengi mno halafu serikali ipo kimya, itakuwa ni ujinga na upuuzi kuendelea na mpira hatuna furaha kabisa hatuwezi kushangilia tuwaachie hilo propaganda. push huu ujumbe umfikie kila mtanazania
NB
Maandamano bila vurugu ndiyo yatatupa matokeo chanya aluta continua tukutane next time