With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

With Heartfelt Sentiments on your Birthday!

Usijali erickb52 na karibu tena. We missed you alots
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
hahahahaaaaaaaaa......umekuja na vituko!!! haya bwana! ila ukweli utabaki kuwa wewe ni mdogo wangu wa mwisho!!!
Akuuuuu
Labda nibaki kuwa nyumba ndogo ya mwisho hahahaaaa
 
Last edited by a moderator:
Dear sweetlady
Ninaomba kukushukuru sana kwa kunitakia heri katika siku yangu hii ya kuzaliwa...Pokea thanks zangu!
Sina la kusema...ila umenifanya nirudi kundini kwangu (Chitchat) coz ni miezi kadhaa sasa tangu niwe nje ya jukwaa.
Thanks for your love and care.
Nichukue fursa hii kuwashukuru wanaJF wote toka maujukwaa yote bila kuwasahau mods wote Invisible , Paw , Moderator na wenzao.

Niliwamiss sana wapendwa The Boss thanks sana, watu8 Baba V mimisa Paloma sosoliso PakaJimmy TANMO Heaven to earth babaa Arushaone shem shansarie na mumewe kiwatengu Arabela YNNAH Mamaa KOKUTONA Mamndenyi Bishanga (Miss you mkuu) Slave , Lisa snowhite Blaki Womani (Miss you sister) Filipo Mungi marejesho LiverpoolFC Mr Rocky (Tukutane Meatu tukagawane watoto wetu) ladyfurahia (Sister Upooo?) Nivea (Hajambo KakaKiiza ?) Mrembo by Nature (Miss you), Mentor (Wapi dada yako beibe nasty ?) Block City KakaKiiza (Thanks bro), Lady doctor (Miss kiwowowo) bila kumsahau Preta na mumewe mtu chake Madame B (LongTime mdada) Nicas Mtei(??) charminglady na Elizabeth Dominic (Nawamiss sana jamani) Vin Diesel ???.
Duh ni wengi sana....jamani nawashukuru wote na niliwakumbuka sana hasa The secretary (Salamu kwa mtoto).
Dada zangu Fixed Point Roulette na AshaDii nawamiss sana.
Pia ninawashukuru sana wake zangu kwa mapenzi yao ya dhati kwangu....Asante sana Amyner (Miss you) Chocs (You are ma number 1), Kipipi (Mwaaaaah) Remmy (Thanks for caring).
sweetlady thanks a lot kwako na kwa mumeo nitonye ....!
Bishanga tuonane baadae.


Karibu sana ila kwa speed ulokuja nayo ntakurudisha ulikokuwa we haya..... Afu nitonye nishamuacha zamani sana shahidi ni Bishanga teh teh
 
Last edited by a moderator:
Asante sana KOKUTONA eeeh
Usisahau kuja kwenye party baadae....ila uje na wa kukurudisha endapo utazimika hahahaaaa
Miss you

Ha ha haa Erickb52 usinambie kwenye party kutakuwa na makitu ya kuzimisha...

Loool...ngoja niandae bodyguard wa kunilinda km hayo makitu yatanipitia
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom