Dear
sweetlady
Ninaomba kukushukuru sana kwa kunitakia heri katika siku yangu hii ya kuzaliwa...Pokea thanks zangu!
Sina la kusema...ila umenifanya nirudi kundini kwangu (Chitchat) coz ni miezi kadhaa sasa tangu niwe nje ya jukwaa.
Thanks for your love and care.
Nichukue fursa hii kuwashukuru wanaJF wote toka maujukwaa yote bila kuwasahau mods wote
Invisible ,
Paw ,
Moderator na wenzao.
Niliwamiss sana wapendwa
The Boss thanks sana,
watu8 Baba V mimisa Paloma sosoliso PakaJimmy TANMO Heaven to earth babaa
Arushaone shem
shansarie na mumewe
kiwatengu Arabela YNNAH Mamaa
KOKUTONA Mamndenyi Bishanga (Miss you mkuu)
Slave ,
Lisa snowhite Blaki Womani (Miss you sister)
Filipo Mungi marejesho LiverpoolFC Mr Rocky (Tukutane Meatu tukagawane watoto wetu)
ladyfurahia (Sister Upooo?)
Nivea (Hajambo
KakaKiiza ?)
Mrembo by Nature (Miss you),
Mentor (Wapi dada yako
beibe nasty ?)
Block City KakaKiiza (Thanks bro),
Lady doctor (Miss kiwowowo) bila kumsahau
Preta na mumewe
mtu chake Madame B (LongTime mdada)
Nicas Mtei(??)
charminglady na
Elizabeth Dominic (Nawamiss sana jamani)
Vin Diesel ???.
Duh ni wengi sana....jamani nawashukuru wote na niliwakumbuka sana hasa
The secretary (Salamu kwa mtoto).
Dada zangu
Fixed Point Roulette na
AshaDii nawamiss sana.
Pia ninawashukuru sana wake zangu kwa mapenzi yao ya dhati kwangu....Asante sana
Amyner (Miss you)
Chocs (You are ma number 1),
Kipipi (Mwaaaaah)
Remmy (Thanks for caring).
sweetlady thanks a lot kwako na kwa mumeo
nitonye ....!
Bishanga tuonane baadae.