Dah kwani ukumbini mtoto si ni mimi peke yangu tu?
Hakuna mwingine jamani na mimi pia niko na mtoto mwenzangu wala msijali
Hahahha kumbe nguvu za thoda eeh?
Babu unajifanya mjasiri muda huu wakati umechemsha kumkagua AmKATRINA.
Hahahaaaaaaa Dah Rejao asante lolView attachment 60364
Hongera sana kukufikisha Idadi ya posts hizi...
mmmhhhh! umdhaniaye ndiye wallah! lol, na mjini vijiti kupokezana khaaaaaaa!Sogea huku nyumanyuma si unajua kwenye sherehe wale wajanja wa mjini huwa tunakaa nyuma kbs tufanye maujanja yetu ya kikubwa.
Kwanza wait,wakezo wako wapi n'sije mpasua mtu humu ukumbini.
Come,come.
Hahahaaaaa beibe nasty huwa anasema utakojoa dagaaa oooh hujui eeeehHahahahah ikoje hiyo?
View attachment 60364
Hongera sana kukufikisha Idadi ya posts hizi...
Hehehee ndio mtindo wa kisasa meeeenmmmhhhh! umdhaniaye ndiye wallah! lol, na mjini vijiti kupokezana khaaaaaaa!
ummu kulthum hujambo shemeji yangu? platozoom hajambo?umejuaje?ujasiri wake unaishia kuwatisha wake zake tu!