Wishing you a Happy Birthday @Erickb52

Wishing you a Happy Birthday @Erickb52

Hebu katianeni hiyo ndizi na sweetlady, mbona unachezea bahati wewe.....
Hahahaaaaaa hawa huwa hawachelewi kukufanya kama adhabu lol
Utashangaa mnakesha mchana kweupeeeeee
Ila ngoja niende maana bahati huwa haiji mara 2 lol
 
Mr Rocky maelekezo pleaseee! Nataka kumwona sweetylady live bila chenga ah ahaaa!

Hehehehe utakayemkuta amekaa karibu na biblia afu mkononi ana maji ya kilimanjaro ndie sweetlady.....uwahi eeh mie pia nataka kukuona live bila chenga !
 
Hahahaaaaaa hawa huwa hawachelewi kukufanya kama adhabu lol
Utashangaa mnakesha mchana kweupeeeeee
Ila ngoja niende maana bahati huwa haiji mara 2 lol

Wewe ndio mana umezaliwa na ndevu lol.....mtoto mdogo unajua kukesha khaaaa!!!!!
 
Mr Rocky maelekezo pleaseee! Nataka kumwona sweetylady live bila chenga ah ahaaa!
Hahahahaaaaaa mbwembwe hizo lol KARIA uje ukiwa ushashtua kidogo
Halafu utashangaa tuko ukumbini ila hakuna anayemjua mwenzake lol kimya kimya ila mimi mtanijua
 
Last edited by a moderator:
Wewe ndio mana umezaliwa na ndevu lol.....mtoto mdogo unajua kukesha khaaaa!!!!!
Hahahaaaa siunajua hata mtoto anapenda raha sema tu hawezi kusema ila mi nimeweza kusema so wacha nile raha tu
 
Hahahahaaaaaa mbwembwe hizo lol KARIA uje ukiwa ushashtua kidogo
Halafu utashangaa tuko ukumbini ila hakuna anayemjua mwenzake lol kimya kimya ila mimi mtanijua

Wewe vile una kiherehere lazima kila mtu atakujua lol......na uangalie wasijekupeleka mabwepande namake hii sherehe wamealikwa CDM na CCM chunga sana !
 
Hehehehehe walah kweli umedhamiria kummaliza Amyner !... Erickb52 unaona sasa ?.... Remmy kaonja hataki kukwacha tehe tehe !
Dah najuta kwanini nilimpa mavitu adimu lol
Ila we tulia ananijua vema kuwa bendera fuata upepo....
Heheheee samahani mpenzi Remmy natania tu
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa siunajua hata mtoto anapenda raha sema tu hawezi kusema ila mi nimeweza kusema so wacha nile raha tu

Hahahahah mtoto utakuwa kizazi cha nyoka wewe ....haiwezekani neno lako la kwanza kusema liwe ni "kula raha"!....ingewezekana tukurudishe ulipotoka lol
 
Dah najuta kwanini nilimpa mavitu adimu lol
Ila we tulia ananijua vema kuwa bendera fuata upepo....
Heheheee samahani mpenzi Remmy natania tu

Wewe tena wala sisemi lol.....hapo bado Kipipi hajakuja tehe !
 
Last edited by a moderator:
Wewe vile una kiherehere lazima kila mtu atakujua lol......na uangalie wasijekupeleka mabwepande namake hii sherehe wamealikwa CDM na CCM chunga sana !
Hahahaaaa nimeacha mbwembwe siku hizi utashangaa hunijui pia lol
Mimyaaaaa utadhani naumwa
 
Erickb52,
hongera kwa kuzaliwa....
pole kwa kupunguza miaka yako ya kuishi ........

................

ila pole zaidi kwa kumwagwa na Amyner....
ulikuwa unatubania pua tu Amyner Amyner Amyner kiko wapi.........

halooooooooooooooooooooooooo............
sweetlady wapi shampeniiiiiiiiiiiiiiii
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom