Wishing you a Happy Birthday @Erickb52

Wishing you a Happy Birthday @Erickb52

Happy birthday to you, u live in a zoo, u loook like a monkey, u smell like one too!!! How old are you now, we bought a new cow, it keeps mooing mooo, like u r doing now!!! Enjoy the day hommie...njoo Kwetu barber k'mboni nkupe ofa ya manicure, pedicure, na kila kitu!!!
 
Ha ha haahaahahaaaah!!! Ile imekuwa kama wimbo wa taifa hapa ofisini......
Hahahaaaaaaa nakumbuka wakati tuko shule binti mmoja alinyang'anywa kitabu na jamaa then jamaa akakimbia sasa yule binti akataka kumwambia "Samweli tutagombana" akakosea akasema "Samweli tuta***mbana"
Heheeee nafuta kauli
 
Happy birthday to you, u live in a zoo, u loook like a monkey, u smell like one too!!! How old are you now, we bought a new cow, it keeps mooing mooo, like u r doing now!!! Enjoy the day hommie...njoo Kwetu barber k'mboni nkupe ofa ya manicure, pedicure, na kila kitu!!!
Duh Mentor asante...ngoja nikuje hapo chap walau nionekane mtoto kweli maana haya mandefu lol utadhani mbabu
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaaa nakumbuka wakati tuko shule binti mmoja alinyang'anywa kitabu na jamaa then jamaa akakimbia sasa yule binti akataka kumwambia "Samweli tutagombana" akakosea akasema "Samweli tuta***mbana"
Heheeee nafuta kauli
Ha ha ha haaaah!! Imefutwa kwenye hansard usihofu....
 
Amyner harudi tena. Mie ndo nimechukua usukani naendesha jahazi...
Madame B natangaza vita na wewe kuanzia sasa.
Dah sasa usianze ugomvi mke wangu lol
Huyo Madame B hana lolote kwanza mgomvi asijenifanyia kama Ruhazwe JR nkapata mastress buree na ndio kwanza nazaliwa
 
Last edited by a moderator:
Anaitwa Madame B ......hapana usifanye zaidi ya Amyner Mungu hapendi umwibie mwenzio afu uzidishe mbwembwe lol....utafanya Erickb52 ahamie kwako moja kwa moja !
Heheheeee Amyner akirudi nahamia kwa Amy kuepusha mgongano lol
Ila patakuwa hapatoshi kama kipindi kile amerudi na hasira za kuibiwa lol
 
Last edited by a moderator:
Dah!!
Aisee!!
Umechelewa kidunchu tu Erickb52,
nakata mitaa ya Posta huku nimekuja kukuchukulia Keki.
Asprin ananijua makali yangu ktk suala zima la mtakatisho.
Ila n'tawah ili nije kukuogesha usiku pamoja na kukubembeleza hadi ulale.
Shhhhiiiiiiiii Madame B, usiseme kwa sauti hapo watoto watasikia.... Hebu kam zis wei kwanza tutete kidogo.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom