Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Hakuna watu nawashangaa kama polisi nchi..huku mtaani mtu mwenye maisha duni polisi ni namba moja! Mishahara hata receptionist wamewazd, housegel wangu ana maisha mazuri kuliko polisi wa form four failures hawa..nashangaa wanavyotumika na wenyewe kujituma kuikanyigia haki!! Hata kama "soldier is like a dog, you receive order n execute"" akili za kujiongeza hakuna?? miaka kumi hawana maisha bora leo hii huyo huyo aliwaachia umaskin bdo unaeza mckiliza kisa vimishahara vya lak mbili???? hii inaezekana tz tuu
 
Hakuna watu nawashangaa kama polisi nchi..huku mtaani mtu mwenye maisha duni polisi ni namba moja! Mishahara hata receptionist wamewazd, housegel wangu ana maisha mazuri kuliko polisi wa form four failures hawa..nashangaa wanavyotumika na wenyewe kujituma kuikanyigia haki!! Hata kama "soldier is like a dog, you receive order n execute"" akili za kujiongeza hakuna?? miaka kumi hawana maisha bora leo hii huyo huyo aliwaachia umaskin bdo unaeza mckiliza kisa vimishahara vya lak mbili???? hii inaezekana tz tuu

ubora wa maisha ya polisi ni pale wanapofanya kama watakavyo hata wakiua hawafanywi kitu hivyo wanauwezo wa kuzulumu bila wasiwasi wowote, hilo ndilo wanalolifuraia katika nchi hii
 
2015 is the main downfall and holy stroke for ccm and their families.
 
Lengo hasa ni kulinda amani kipidi hiki , wako watakao tumia opportunity hii kuiba na kufanya uhalifu mwingine , Wao wenyewe wanajua nguvu ya umma si ya kuichezea pale litakapofikia wakati wake hayo magari yote yanakuwa kama toys watu wanapigia picha , jaribu kurudisha picha Misri ilivyokuwa vile vifaru watu walikuwa wanapigia picha.Hii ni haki yetu kupewa ulinzi hasa kipindi kama hiki , Serikali inawajibu wa kuhakikisha ulinzi na usalama unakuwepo na kuimarishwa.
 
Hivi serikali inajua kwamba wananchi wamekata tamaa na Ccm na kwamba wako tayari kwa lolote ....hivyo vitisho sijui unamtisha vipi mwananchi aliyekata tamaa ambayo option iliyobaki kwake ni kufa
Besides likitokea la kutokea maskini Hana cha kupoteza ,well damu zitamwagika sawa lazima kuwe na sacrifices haki walau ionekane kutendeka
Kufa ni Mara moja tu na sio Mara mbili ,binafsi nipo tayari kufa kwa kutetea haki yangu
 
ulinzi unaimarishwa kutokana na kauli zenu wenyewe,tatizo lenu huwa mnaibeep serikali majukwaani halafu ikiwapigia hampokei.

serikali haiwezi kuona raia wake wanashindwa kulala usingizi na kufanya shughuli zao za kimaendeleo kwa sababu ya tamaa zenu za uongozi wakati hamna sifa ya kua hata madiwani.

mi nasema atakaekiuka utaratibu na apigwe tu mana hakuna namna nyingine

Lakini serikali iko radhi kuona raia wake wanakufa kwa kukosa madawa hospital, iko radhi kuona wanafunzi wanasomea chini, iko radhi kupandisha twiga ndege, ipo radhi kuona wamama wajawazito wanalala na kujifungulia chini, ipo radhi kuipiga chini katiba ya maoni ya wananchi ?? We should put this to an end for God sake
Haki ya mama mwaka huu tutaheshimiana
 
Huyu rev ni mpuuzi kabisa anaongea kama mwanafunzi aliyejawa jazba na frustration za kinadharia za darasani anataka kuona mmomonyoko wa dola na watu wake.

Lazima serikali iliyopo ijitayarishe kwa kulinda amani na utulivu kwani wananchi wengi watakaopiga kura watafuata utaratibu na sheria zilizopo na wengi wengineo hawatahusika hata na zoezi lenyewe kutokana na vigezo vingi ikiwemo umri..wahuni wachache watakaovunja amani kwa kutokutii sheria watashughulikiwa kwa nguvu zote za dola..
 
polisi na afya kipi zaid? polis vyote hvyo kwa lipi ndan ya nchi hii?? ushawahi fika wodi ya wazazi muhimbili wewe?? achen kuwaza kindez

Hampendi ukweli. . . . .Acha kufika nimefanya kazi na kuzalisha kwa mikono yangu vijijini hata gari hakuna. . . .Machela ya miti najua kuliko unavyoandika hapa. . . .

Amani kwanza ushabiki baadae. . . . Response inatokana na stimulus mnaposhabikia dangerous stimulus usitegemee a calm response

Tukiwa wakweli kukataa kauli za utata haya hayatokuwepo lakini mlishangilia kauli za nchi haitotawalika, patachimbika. . . .Etc

mlitegemea serikali ianzishe shamba la maua??!!!

Acheni unafiki tujenge nchi
 
Porojo ndeeeeefu, haina kichwa wala miguu.

Ulitaka wingu za mvua ya kununuwa Thailand?

Hivi ni lazima uchangie! Hii mada inakuhusu wewe na mimi! Hatupasi kusimamia uuaji wa demokrasia kwa kushabikia vyama. Vyama vitapita, lakini taifa litabaki. Wewe unanichukiza. Nilifikiri ungesemea kidogo maana ya huyo adui tunayejiandaa kupigana naye na sio kejeli hizi.
 
Kwani hayo magari yatakufuata nyumbani yakushambulie??!!
Hutaki Polisi wawe na vitendea kazi??!!!

Huwa naheshimu sana mawazo yako hapa JF, lakini naona leo umekwenda nje ya msitari. Vipaumbele vya nchii hii pendwa ni vipi? Leo tunadhindwa kudhibiti kipindupindu Dar, still pesa tunaongeza magari ya maji ya kuwasha! Mwananyamala na Amana hospitalini akina mama hawana hata gloves za kuwasaidia kujifungua, tuonaongeza landruiser za kubebea FFU na mabomu. Serious? Polisi wenyewe hawana nyumba za kutosha, hata hizi wanazoishi (hasa UKONGA) zimechakaa ile mbaya. Kwa nini hizo pesa zisingeboresha nyumba zao kwanza?
Tukiachilia mbali ushabiki wa kisiasa, hebu turudi kwenye basics, kweli polisi wana upungufu wa magari?
 
VIfaru vilishindwa kuzuia orange revolution ... Haya magari yenye kuwaka moto silolote si chochote mbele ya Umma uliokasirishwa ... CCM wanakosa hekima sasa! Badala ya kuwanunulia Ambulance, kuwalipa mishahara yenye staha watumishi wanaishia kuwatisha wananchi ... JK anatakiwa kuwa Smart kwa kukataa kumwaga Damu kama alivyofanya Mkapa ... Kwangu hii ni sababu nyingine ya kuing'oa CCM hapo tarehe 25 October ...
 
Hakuna hoja kuna ushabiki wa kijinga.

Dunia hii uliona wapi mtu anaponda jeshi kupata vitendea kazi?

  1. Kwanini vinunuliwe wakati huu?
  2. Nyumba za askari wetu zimechoka mno (hasa wale wa Ukonga kwenye nyumba za mabati matupu) hizo pesa za kununua magari wangeboresha nyumba za askari wetu, they deserve decent housing
 
Tume ya uchaguzi imeingiliwa na mamlaka ya serikali tawala. Uhuru wa mwananchi kubaki umbali upatao mita 200 umetenguliwa kabisa. Tafsiri imebadilishwa na kuwa sheria hairuhusu MKUSANYIKO
 
Dah, yaani me nilikuaga namuheshimu sana huyu Mkuu, ila kwa alivyocomment ndani ya miezi hii miwili, Acha nifunge mdomo wangu!!

1. Amani
2. Amani
3. Amani

Heshima kwa sasa kaa nayo bro/sis kwa sasa kuna issue lazima zisimamiwe firmly na ni hizo hapo tatu. . . kampeni zinaishia. . . .kura ni siku moja tu. . . .Aftermath??!!!

If being realistic disgusts you. . . . . My apology
 
Back
Top Bottom