Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Amani yetu imeeharibiwa na tamaa ya viongozi. Ukimyima mtu haki yake ni muda tu atakugeukia. Hawaoni Lowasa akishangiliwa kama rais? Ngoja tuone!
 
This is too low hasa inapotoka kwa mtu anayeheshimika humu kama wewe...muda ulioutumia kuandika post yako ungeweza kuutumia kujibu hoja yake.

I dont care. . . National interest over my shoulders till the last drop

1. Rapid Response Team/Unit needs reliable means of transport. . . .
2. Ever heard of gender desk??!! Are you aware of GBV prevalence rate in rural and challenges asssociated??!!!!
3. Some issues are not for every Tom, Dick and Harry. . . .

RIP all men in boots who stood night storms and died in uniforms. . . .Mkuranga, Staki Shari, Misugusugu to name but a few
 
Me I think,there is nothing to worry about-Kikwete anajua fika kwamba eyes and ears of the world are focusing on Tanzania-a slight miscalculation on his part and ICC will beep him-sioni kama ana guts za kuishia The Hague-hapa ndio watanznia tumebahatika

Unapocomment uwe una.uhakika na unachoandika...kuna kitu kinaitwa sovereignty ya dola na hata Ukiwa umezikubali docs za icc kwenye bunge lako...ratification process bado sovereignty ya state iko juu na sheria za ndani ziko juu ya za icc..icc inakuja tu pale dola yenyewe yaani nchi/serikali inaposema kesi hizi hatuna uwezo wa kuzisikiliza...hapo icc inaingia Mfano wa kenya..icc ni mahakama
ya kivita itafanya kazi automaticaly kama kuna vita baina ya mataifa au ya ndani...hapo icc statutes zinatumika bila kualikwa..Mfano Sudan,
Acheni ushabiki wa kipuuzi...
 
Ishu sio jeshi la polisi kupatiwa chenzo za kazi mkuu ila timing ya kupatiwa hizo nyenzo.
Hizi ni hoja zinazojengwa na fikra za kihalifu.

Kama vipi, hata jeshi la polisi livunjwe kwa sababu linatishia amani nchini.

Kuna umuhimu gani wa kuwa na polisi bila nyenzo zao za kazi.
 
Acheni jazba hapigwi mtu na maafande wako ki ✌️✌✌️ zaidi. J2 tuko nao mita 200 kulinda kura hadi kieleweke! Anayesema maafande hawataki mabadiliko weka hoja hapa!
 
Porojo ndeeeeefu, haina kichwa wala miguu.

Ulitaka wingu za mvua ya kununuwa Thailand?

Ukisoma huo uchambuzi kwa mtizamo wa kimrengo lazima uone ni porojo ila mtoa mada ameeleza uhalisia wa demokrasia ya mdomoni tu ambayo tunayo hapa nchini kwetu
 
Katiba ingekuwa imara, bila kuwa na manufaa ya mtu, kundi au chama kimoja, Katiba ingekuwa imara kusimamia haki, kunyumbulisha wajibu sawa wa Taasisi za Serikali kuilinda Katiba na nchi (rejea hotuba ya Obama Addis Ababa ya Strong and democratic institutions), Katiba ingekuwa ya mwananchi kwa manufaa ya mwananchi:
  1. Hisia za hujuma na upendeleo zisingekuwepo
  2. Haja ya kutumia mabavu na nguvu kuleta matokeo isingkuwepo
  3. Dhamra ya kuonyesha lazima ya Ulinzi wa hali ya juu isingetokea

Katiba na Sheria zingekuwa zina haki sawa na zinasimamiwa kwa haki na uadilifu, tusingekuwa tunalizungumzia bandiko langu, nisingeandika kuhoji niliyoyatamka ambayo ni mambo ya kweli na si hisia za watu tuu.

Si suala la kukosekana vitendea kazi, lakini ni kwa nini jamii moja haiamini serikali, kwa nini jamii haiaminiani, kwa nini suluhisho la kuleta manendeleo na upya wa kujenga Taifa kushinda umasikini, ujinga na maradhi unalazimika kuwa na mtikisiko kutishia amani.

Tutumie busara na hekima, si ushabiki tuunde umoja imara wa Kitaifa na kuwa na Serikali, Katiba na Sheria zisizo na upendeleo au kugandamiza jamii.
 
I dont care. . . National interest over my shoulders till the last drop

1. Rapid Response Team/Unit needs reliable means of transport. . . .
2. Ever heard of gender desk??!! Are you aware of GBV prevalence rate in rural and challenges asssociated??!!!!
3. Some issues are not for every Tom, Dick and Harry. . . .

RIP all men in boots who stood night storms and died in uniforms. . . .Mkuranga, Staki Shari, Misugusugu to name but a few

Kubali tu kuwa upo nje ya key and you are just fighting to save your face in the name of national interests. Hakuna National Interests hapo. Wote tunawapenda askari wetu na tunazikubali kazi zao usisahau kuwatakia RIP raia waliuawa na hizo response teams kwa silaha nziti ili hali raia hao wakiwa hawana hata jiwe mkononi wala na pengine wakiwa na siku mbili hawajala
 
Kubali tu kuwa upo nje ya key and you are just fighting to save your face in the name of national interests. Hakuna National Interests hapo. Wote tunawapenda askari wetu na tunazikubali kazi zao usisahau kuwatakia RIP raia waliuawa na hizo response teams kwa silaha nziti ili hali raia hao wakiwa hawana hata jiwe mkononi wala na pengine wakiwa na siku mbili hawajala

My face is high up, political staging is OVER. . . .you wanna know whether the tune is up or off key just poke your nose beyond the red tape. . . .Then the definition of National interest . . . will be spelled for you accordingly sir
 
Unapocomment uwe una.uhakika na unachoandika...kuna kitu kinaitwa sovereignty ya dola na hata Ukiwa umezikubali docs za icc kwenye bunge lako...ratification process bado sovereignty ya state iko juu na sheria za ndani ziko juu ya za icc..icc inakuja tu pale dola yenyewe yaani nchi/serikali inaposema kesi hizi hatuna uwezo wa kuzisikiliza...hapo icc inaingia Mfano wa kenya..icc ni mahakama
ya kivita itafanya kazi automaticaly kama kuna vita baina ya mataifa au ya ndani...hapo icc statutes zinatumika bila kualikwa..Mfano Sudan,
Acheni ushabiki wa kipuuzi...
YOU are barking at the wrong tree -go tell that to Lowassa whom I quoted-all in all mtanyoka tu,days are numbered
 
My face is high up, political staging is OVER. . . .you wanna know whether the tune is up or off key just poke your nose beyond the red tape. . . .Then the definition of National interest . . . will be spelled for you accordingly sir

Emotional sober hizo...you are completely blotto your honor , kupigwa na kuuawa kwa raia kwako ni kulinda National interests bila shaka hata kushuka kwa elimu, mahospital kukosa hata ambulance na mafuta, kukosekana kwa madawa hivyo bila ya shaka mtavi term as pillars of national interests.

Hivi unajua kuwa wafanyakazi waliostaafu wameambulia pensions walizokua wakikatwa kwenye mishshsra yao peke yake? Mwajir wao ambaye ni serikali hakukabidhi michango yake kama sheria inavyoamuru!! unajaribu kuongea nini wewe!! Where is national interest hapo? kuwahujumu na kuwanyima haki zao wafanyakazi hawa walioitumikia serikali kwa muda wote ndiyo national interets!!! Fikiri vizuri acha kujidondosha kibwege namna hiyo!! Unadhani baada ya mimi baada ya kugundua kuwa muajiri wangu ameninyima haki zangu nitakua na mawazo gani hapo? unategemea nitapigia makofi hiyo migari waliyopoteza hela kununua ili hali nikijua likipasuka kioo tu au hata kufa kifaa chchote kile litaishia kupaki....unajua watakua wameipaki milioni mia ngapi kwenye mawe? Acheni kutupa hasira kwa kuwa tu mnafaidika na mifumo mibovu na kandamizi iliyopo hivi sasa!!
 
Emotional sober hizo...you are completely blotto your honor , kupigwa na kuuawa kwa raia kwako ni kulinda National interests bila shaka hata kushuka kwa elimu, mahospital kukosa hata ambulance na mafuta, kukosekana kwa madawa hivyo bila ya shaka mtavi term as pillars of national interests.

Hivi unajua kuwa wafanyakazi waliostaafu wameambulia pensions walizokua wakikatwa kwenye mishshsra yao peke yake? Mwajir wao ambaye ni serikali hakukabidhi michango yake kama sheria inavyoamuru!! unajaribu kuongea nini wewe!! Where is national interest hapo? kuwahujumu na kuwanyima haki zao wafanyakazi hawa walioitumikia serikali kwa muda wote ndiyo national interets!!! Fikiri vizuri acha kujidondosha kibwege namna hiyo!! Unadhani baada ya mimi baada ya kugundua kuwa muajiri wangu ameninyima haki zangu nitakua na mawazo gani hapo? unategemea nitapigia makofi hiyo migari waliyopoteza hela kununua ili hali nikijua likipasuka kioo tu au hata kufa kifaa chchote kile litaishia kupaki....unajua watakua wameipaki milioni mia ngapi kwenye mawe? Acheni kutupa hasira kwa kuwa tu mnafaidika na mifumo mibovu na kandamizi iliyopo hivi sasa!!

Achana na huyo mpuuzi tu. Hao ndo wanatupa hasira. Kwa kuwa yeye mfumo una mnufaisha ndo maana anaongea huo uhalo. There is no national interest hapo. Anatetea tumbo lake. I salute all men and women in uniforms of those times (During Kagera war). There is no point at all to support police killings of innocent people. Mtu mjinga kama yeye ndo anayeweza kushabikia kuuwawa kwa raia wasio na hatia
 
Back
Top Bottom