Swali la kipimajoto
Je ccm inaponunua gari za polisi 777 bila kununua ambulance hata moja au kuboresha huduma za afya kwa namna yoyoye, je ni ishara kwamba nchi ina wakorofi wengi kuliko wagonjwa?
Jibu Ndio
Hapana
Sijui
Tunatakiwa kufahamu kwamba kila jambo lina umuhimu wake, mimi sioni tatizo la serikali kununua magari ya polisi. Wanaochukia hilo ni wale waarifu na wafanya fujo tu, kama ww ni raia mwema utapenda hata kuliona gari la polisi kwa sababu ya uhakika kuwa upo mahala salama.
Pia, Tanzania ina polisi chini ya 40000 na vituo vya kupiga kura vipo zaidi ya 70000 kwa maana hiyo tuna uhaba hata wa hao polisi, mimi simaanishi afya isipewe kipaumbele bali usalama kwanza maana amani ikitibuka ni vita, mkiangalia hata mataifa ya jirani kuna vurugu kutokana na uchaguz tu. Tumejua kwamba Kenya, Rwanda, Burundi, nk kuna ukabila kutokana na uchaguzi tu na si vinginevyo, usalama wetu ni muhimu na afya ni muhimu.
Zile machine za voters' ID ziligharimu 85mn dollars, equivalent to 185.47595bn za kitanzania, mbona hawakusema Serikali imepoteza hela? Si tunahitaji hyo huduma. UKAWA waambieni waache upumbavu.
Huyu anayeandika hii kusema CCM imenunua gari la polisi na sio gari la kubeba wagonjwa ni mchochez wa vurugu tu, na kama ningekuwa askari ningemkamata upesi. Tuache siasa za kuharibu amani ya nchi. Ina maana waliotoa hilo agizo ni wajinga? kila kitu kina muda wake na wala serikali haijakosea kufanya hvyo.
#CCM haijanunua ni Serikali ndo imenunua
..............................MCHAGUE MAGUFULI KWA MAENDELEO YAKO BINAFSI NA TANZANIA KWA UJUMLA.................................................