Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Wingu Jeusi la kuvunjika Amani

Wow.. Mkuu ni wewe kweli??

This is absolutely rubbish

Dah, yaani me nilikuaga namuheshimu sana huyu Mkuu, ila kwa alivyocomment ndani ya miezi hii miwili, Acha nifunge mdomo wangu!!
 
Polisi ktk uchaguzi u inategemewa na ccm kuisaidia ipate ushindi,kwa kifupi polisi wenye haki ngumu kimaisha watatumika kulinda maslahi ya watu wachache huku RAIA wengi wakiteseka,
 
Wanasema usilolijua ni sawa na usiku wa gizaa. Watanzania laleni amkeni nendeni kwenye shughuli zenu lakin hamjui wapo watu hawalali wanakesha kuhakikisha ulinzi wa taifa hili. Kuna watu hawana muda wakuka na wake za na waume zao na familia zao yote ni kuhakikisha amani ya nchi hii. Kiweni na huruma watanzania laiti mngetaka kila linalojiri tz litangazwe basi ndo mngejua tz ni nchi isiyokuwa na amani. Matukio mengi yamezuia yasitoke na vyombo vya ulinzi na usalama kimya kimya. Jamani hali ni tete upande wa pili hao ukawa wana mikakati ambayo ukiijua leo unaweza kimbia nchi. Lakin vyombo hivi vimekesha kuzuia mikakati hiyo. Narudia usilolijua ni sawa na ucku wa giza. Acheni serikali ijiandae kulinda amani ya watz kutoka kwa wale wanaotaka kuichafua. Watz kuweni na hata shukurani chembe kwa vyombo vya ulinzi na usalama
 
Dada FF najua mahaba yako na ccm pia najua unatokwa povu tu hapa lakini yaliyo elezwa yanagusa mtima wako.... ni mjinga pekee atakae puuzia uzi huu kwamba hamna hoja... lakini wewe najua unaatetea mkate wako.... watawala hukosa busara na hekima, humweka Mungu pembeni japo wanasali na vibaraka wao kama wewe huwapigia makofi... ila wakati ukifika utakuwa umeisha umiza wengi ila uhuru kamili utapatikana... pole dada angu.

Hakuna hoja kuna ushabiki wa kijinga.

Dunia hii uliona wapi mtu anaponda jeshi kupata vitendea kazi?
 
Wanasema usilolijua ni sawa na usiku wa gizaa. Watanzania laleni amkeni nendeni kwenye shughuli zenu lakin hamjui wapo watu hawalali wanakesha kuhakikisha ulinzi wa taifa hili. Kuna watu hawana muda wakuka na wake za na waume zao na familia zao yote ni kuhakikisha amani ya nchi hii. Kiweni na huruma watanzania laiti mngetaka kila linalojiri tz litangazwe basi ndo mngejua tz ni nchi isiyokuwa na amani. Matukio mengi yamezuia yasitoke na vyombo vya ulinzi na usalama kimya kimya. Jamani hali ni tete upande wa pili hao ukawa wana mikakati ambayo ukiijua leo unaweza kimbia nchi. Lakin vyombo hivi vimekesha kuzuia mikakati hiyo. Narudia usilolijua ni sawa na ucku wa giza. Acheni serikali ijiandae kulinda amani ya watz kutoka kwa wale wanaotaka kuichafua. Watz kuweni na hata shukurani chembe kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Kawadanganye kunguru wenzako huko lumumba.
 
Jina lako lenyewe linaonyesha wewe ni nani REV.KISHOKA naona ni kama wale vishoka wa Tanesco wanaotapeli watu.Kwa ulichoandika kinathibitisha wewe ni mchungaji kishoka.Hata mchungaji unaogopa vyombo vya ulinzi na usalama lazima utakuwa mhalifu na kishoka.
 
Huyo jamaa wenu huyo mrithi wa kumlindia maslahi hampati. Endeleeni kujitekenya.

Ongea kama mwanamme siyo unatafunatafuna maneno kama mwari wa Kizaramo, huyo "jamaa wenu" ndiyo nini?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
msukule wa ccm at work,
poor you,
wana kura yako moja tu humu,
ccm ni ileile men!!
hambadiliki!!; keh!!!!

Magufuli_CCM_uzinduzi_dar.jpg
 
Kwani hayo magari yatakufuata nyumbani yakushambulie??!!
Hutaki Polisi wawe na vitendea kazi??!!!

polisi na afya kipi zaid? polis vyote hvyo kwa lipi ndan ya nchi hii?? ushawahi fika wodi ya wazazi muhimbili wewe?? achen kuwaza kindez
 
Maneno meeengi we vipi? Ushabiki wako unataka polisi wasiwe na vitendea kazi? Unaleta Ushabiki wa kijinga then unaogopa vita? Acha itokee tuu kwani hakuna namna
 
Bado kuna watu wamezibwa masiko watu wanajifungulia chini hakuna vitanda lakini pesa za magari zimepatikana...na baada ya miaka 5 hayo magari yako hoi kwa kukosa service..
Bora kujifungulia chini hospitali kuliko kujifungulia chini vichakani, thanks wazazi wamepata awereness na wanaitikia kujifungulia kwenye vituo vya afya,
 
Maneno meeengi we vipi? Ushabiki wako unataka polisi wasiwe na vitendea kazi? Unaleta Ushabiki wa kijinga then unaogopa vita? Acha itokee tuu kwani hakuna namna
 
Hakuna hoja kuna ushabiki wa kijinga.

Dunia hii uliona wapi mtu anaponda jeshi kupata vitendea kazi?


Naona wakikusifia humu jf but sielewagi wanakusifia nn?? yaan akili yako ni sifuri tena sifuri kweli kweli. nyie ndio wale wa khanga na vilemba ukamsahau mamako aliekuzalia sakafun muhimbili...poor u
 
Tatizo ni vifaa kugaiwa wakati wa uchanguzi ama ni polisi hawastahili kupewa vitendea kazi wakati wanavyo-is it a double allocation?
 
Kwa kuwa kuna watu wana macho lakini hawaoni, wana masikio lakini hawasikii, wana akili lakini hawafikiri, NA kwa ujinga wao wataipigia CCM kura, WAPIGWE TUU
 
Ni wanaCCM tu watadhihaki hili bandiko,
Ila nchi inapoingizwa kwenye machafuko kwa kutumia jeshi ni dhahiri madhara hayatachagua CCM wala asiye mwanaCCM.
Siku zaja itikadi za kisiasa zitabadilika na zitakuwa itikadi za kiimani, hakuna atakayemuamini mwenzake, hakuna atakayemuonea huruma mwenzake,
serikali na chama tawala vimekinai amani ndiyomaana wanaminya haki ya kidemokrasia, hii chuki itadumu vizazi kwa vizazi.

Msipoteze muda wenu kuombea Amani kama Haki haitatendeka.
 
Back
Top Bottom